Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HARAFU! Jifunze kuandika kwanza.Harafu Kila uchwao mashabiki wa Simba wanazidi kuwa mambumbumbu sana aisee [emoji23][emoji28]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Duuuh ! Kwani baleke ana goli ngapi msimu huu?mayele ni habari nyingine uliza DRC national team , uliza cafcc , uliza egyptian premier league , Tena sasahivi mayele angebaki Kwenye timu ya Gamondi Mpaka sasahivi angekuwa na goli 20!
Vijana wa Rage, huwa mnafurahisha sana.
Kwanza kumfananisha Mayele wa Young Africans, na sasa Pyramids ya Misri! dhidi ya mchezaji anayecheza kwa mkopo kwenye timu inayoendeshwa kienyeji kama simba, ni kumkosea adabu.
Hahaha kaka mmeanza majunguUkweli usemwe Fiston kalala Mayele aliona mbali uwepo wa Huyu Mwamba ndio maana alikimbia.Kumbuka Jean Baleke alimshinda Mayele ufungaji Bora huko ligi kuu ya DRC misimu mitatu iliyopita!
View attachment 2757234
Wala mihogo, rais wenu alisema.Harafu Kila uchwao mashabiki wa Simba wanazidi kuwa mambumbumbu sana aisee [emoji23][emoji28]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wydad ni timu ndogo??Baleke vitimu vidogoo anafaa,Timu serious utamuona falaa....Mayele world class player level zakina G.Jesus
Wamemla binamu kimasiharaHuko unyauni mmemfunga binamu yenu.....hahahaha tambo zimeanza
Hii taarifa haina faida yoyote ile kwa sasa. Maana Mayele msimu uliopita alikuwa ni mfungani bora kwenye ligi kuu yetu, na pia kwenye Kombe la Shirikisho Afrika!
nyanokoUkweli usemwe Fiston Kalala Mayele aliona mbali uwepo wa Huyu Mwamba ndio maana alikimbia. Kumbuka Jean Baleke alimshinda Mayele ufungaji Bora huko ligi kuu ya DRC misimu mitatu iliyopita!