La purga
Member
- Nov 27, 2018
- 31
- 24
Walimaliza wajenge lingine kubwaa la manara😂😂😂Rage ajengewe sanamu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimaliza wajenge lingine kubwaa la manara😂😂😂Rage ajengewe sanamu kabisa
Angalia hili jini litakupapasa kunako mak*lion,huogopi mkuu! Au kwa sabab Ni uto inakua kawaida tu!Rage ajengewe sanamu kabisa
Hivi bareke yupo timu ya taifa?Unakutwa na kiungo Saido kwenye race unajiona striker?! Anamjua ndio maana kamkimbia
Usilolijua ni kama usiku wa giza. Ukubali usikubali hakuna mfungaji bora, hatari na mahiri kama Konkon wa Yanga. Kwa sasa anaandaliwa kwa mechi za kombe la vilabu Afrika. Muda utaamua atakapoanza kushiriki kikamilifu.Ukweli usemwe Fiston Kalala Mayele aliona mbali uwepo wa Huyu Mwamba ndio maana alikimbia. Kumbuka Jean Baleke alimshinda Mayele ufungaji Bora huko ligi kuu ya DRC misimu mitatu iliyopita!
Ulikuwa umefunga macho kwenye game waydad au shida kubwa ya watanzania ndio hii yaan mtu yuko tayari kupindisha ili tu auridhishe moyo wakeBaleke vitimu vidogoo anafaa,Timu serious utamuona falaa....Mayele world class player level zakina G.Jesus
Hahaha huo ndio uzwazwa sasaMayele ni habari nyingine uliza DRC national team , uliza cafcc , uliza egyptian premier league , Tena sasahivi mayele angebaki Kwenye timu ya Gamondi Mpaka sasahivi angekuwa na goli 20!
Mpira ni kama biashara kuna siku utapata hasara pi kuna siku utapata faida full stopMechi na power Dynamo... Baleke ni hovyoo kabisa.... Mechi na tawi la Simba hakuna mfungaji bora NBC zaidi ya baleke😅😅. Rage Rage
Nani amecheza wydad?Wydad ni timu ndogo??