RED: Yupo kwenye majukumu ambayo mafisadi walipenda asiyefanye ili waendelee kuchakachua-CDM walishtuka
BLUE: Yuko India kwa upasuaji wa Nyonga
GREEN: Maoni yake yapo kwenye mawasilisho ya CCM
BOLD: Watashirikishwa kwa hatua za mwisho..
Mleta mada, unaweza ukawa umesoma ila si TAALUMA zote....!
Unaposema TAASISI unaelekea kutoelewa maana ya Taasisi hata kidogo!
Mie sijawahi kuona mahali popote hata wakati wa Wagiriki ambako kila mtu anashiriki kwenye suala lilelile kwa asilimia mia!
CHADEMA wanaweza kukusanya maoni kwa watu mbalimbali LAKINI hayo maoni ya watu wakayaunganisha katika maoni ya chama kama TAASISI!
Kitakachopelekwa TUME si maoni ya mtu mmojammoja bali maoni yaCHADEMA mbayo yamegusa mawazo ya watu mbali mbali!
Utaasisi wa taasisi hauji kwa kila mtu kushiriki asilimia mia.
Nenda tena shule