permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Pesa zipo za kuisuka upya, sajili nyingi za Simba za hivi karibuni hazijaleta matokeo mazuri.simba inapaswa kufumwa upya bila ya uwepo wa hicho kiumbe, tunahitaji damu changa zenye njaa ya mafanikio, hana jipya ameshafika mwisho.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app