Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

Achana na single maza mkuu

Mbona wanawake wako wengi sana ambao hawajazalishwa

Hao single maza huwa ni kusuuza rungu na kusepa tu
Haya maneno ni rahisi kuongea kwakuwa wewe ni Mwanaume ila pia ni vizuri ujue sababu ya Usingle wao, wengine wamefiwa na Waume, wengine waume zao wamepata ukichaa, wametoroka nyumbani n.k
 
Story ya kutungwa lakini ina message nzuri

Then ua mom can't be ua girlfriend
 
Haya maneno ni rahisi kuongea kwakuwa wewe ni Mwanaume ila pia ni vizuri ujue sababu ya Usingle wao, wengine wamefiwa na Waume, wengine waume zao wamepata ukichaa, wametoroka nyumbani n.k
Aliyefiwa na mume wake ni mjane

Hizo zingine ni minor cases sana

Wengi wamekuwa single maza kwa sababu ya tamaa na ujeuri
 
Women are comparative beings na hio inawapa vyote faida na mateso, by the time anakuomba hio pesa alishazoe kuomba kwa wengine na anapewa anavyotaka au zaidi women are ladder climbers always with their pussy, brain and looks
 
Ila Kuna wanawake/wadada wanajua kushukuru ata kwa kidogo yaaan wanafariji Hadi unapata nguvu ya kujali zaiiidi
 
nimependa hii wanawake wengi hawana shukrani
 
Safi sana dogo! Umelikomesha!
 
Wewe endelea kutuma tu 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…