Haya maneno ni rahisi kuongea kwakuwa wewe ni Mwanaume ila pia ni vizuri ujue sababu ya Usingle wao, wengine wamefiwa na Waume, wengine waume zao wamepata ukichaa, wametoroka nyumbani n.kAchana na single maza mkuu
Mbona wanawake wako wengi sana ambao hawajazalishwa
Hao single maza huwa ni kusuuza rungu na kusepa tu
Aliyefiwa na mume wake ni mjaneHaya maneno ni rahisi kuongea kwakuwa wewe ni Mwanaume ila pia ni vizuri ujue sababu ya Usingle wao, wengine wamefiwa na Waume, wengine waume zao wamepata ukichaa, wametoroka nyumbani n.k
Women are comparative beings na hio inawapa vyote faida na mateso, by the time anakuomba hio pesa alishazoe kuomba kwa wengine na anapewa anavyotaka au zaidi women are ladder climbers always with their pussy, brain and looksIliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Muhindi😍😍Ati mama yako awe girlfriend wako?
Changamoto..Kwanini aseme hivyo? Ni ujinga wangu au uhalisia.
Ila Kuna wanawake/wadada wanajua kushukuru ata kwa kidogo yaaan wanafariji Hadi unapata nguvu ya kujali zaiiidiIliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
nimependa hii wanawake wengi hawana shukraniIliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Josefu upo?Muhindi😍😍
asante mkuu, uko sahihi kabisa yaniPole sana. Huyo mtu wakati ujao mfungie vioo kama humjui vile labda atajifunza.
Sent using Jamii Forums mobile app
baada ya mahafari karudi kwao Tanga hukoWanawake wengi hasa wa miaka hii hawana akili kabisa. Yaani wana take vitu for granted sana. Sijui umeendelea naye au ndo uliachana naye.
Safi sana dogo! Umelikomesha!Iliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina Tsh 100,000 nikamtumia. Hakusema hata amepokea, akanyamaza tu.
Ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah, akapokea simu nikamuuliza "umeona kuna pesa kidogo nimekutumia Tsh. 100,000", akasema "Nimeona." Nikasubiri hata aseme asante hakusema, akaniambia, "Nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo."
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote, akanijibu "Basi baadaye." Nikaingia kwenye menu yangu ya Tigo Pesa nikaomba kuirudisha ile pesa, nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa, nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu Tsh. 20,000 nikanyamaza. Akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo, akasema hapana hakuna pesa kidogo, akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe.
Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000, akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao, nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. Siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. Nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua, nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama, yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia, nikakata simu.
Mpaka leo hatuna tena mawasiliano, nime-mblock.
Wapi amesema hivyo?Ati mama yako awe girlfriend wako?
Wewe endelea kutuma tu 😀Iliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina Tsh 100,000 nikamtumia. Hakusema hata amepokea, akanyamaza tu.
Ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah, akapokea simu nikamuuliza "umeona kuna pesa kidogo nimekutumia Tsh. 100,000", akasema "Nimeona." Nikasubiri hata aseme asante hakusema, akaniambia, "Nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo."
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote, akanijibu "Basi baadaye." Nikaingia kwenye menu yangu ya Tigo Pesa nikaomba kuirudisha ile pesa, nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa, nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu Tsh. 20,000 nikanyamaza. Akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo, akasema hapana hakuna pesa kidogo, akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe.
Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000, akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao, nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. Siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. Nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua, nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama, yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia, nikakata simu.
Mpaka leo hatuna tena mawasiliano, nime-mblock.
Ame edit title.Wapi amesema hivyo?
Ok!Ame edit title.