The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwa intervention ya mda ndicho wanafanya kwamba magari yanasubiriana hata sasa lakini pia wameambiwa wafanye ukaguzi wa brake za malori kabla ya kushuka ila haieleweki kama Polisi walikagua brake au laa maana tatizo la kufeli brake lilijirudia..Ila kweli kile kipande anzia ile barabara ya MPYA kutoka makambako inapoishia ni kibaya Sana na mbaya barabara ni ndogo Sana,
Labda KWa mda kuanzishwe utaratibu Kama ule wa pale kwenye mlima wa kushuka Mbalizi, magari yasubiliane KWa nusu saa Kama wafanyavyo pale
Asante Mkuu, tumeliongelea sana humu swala la kuwa na 'Runaway trucks Ramp.Miundombinu Inaruhusu kujihami? Unajihami vp kwenye single carriage road kwenye mteremko? Gari nyingine ikifeli break na kuja kwako unaenda wapi? Unapajua Inyala au?
Common sense isn't common hakika
Chadomo mna matatizo Sana aisee,yaani zaidi ya kuropoka sidhani kama hata mnafuatiliaga hata mipango ya Serikali zaidi kukurupuka..Inasikitisha sana jinsi tusivyoweza kuwa na majawabu sahihi huku kuna lundo la Wataalamu
Katika taarifa yake kuhusu ajali ya pale Inyala Mkoani Mbeya iliyoua watu kadhaa pamoja na DED wa Igunga, Gazeti la Mwananchi limetoa taarifa kwamba ajali hiyo imetokea ikiwa ni siku tatu zimepita baada ya Makamu wa Rais Dkt. Mpango kutoa maagizo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kuanza ukaguzi wa magari ya mizigo katika eneo hili.
Sasa nashindwa kuelewa busara ya Makamu wetu wa Rais kwamba suluhisho la kuzuia ajali pale Inyala ni kuyakagua magari ya mizigo kabla hayajapita kile kipande cha barabara. Hili nalipinga kwa dhati. Nimeshindwa na hata kuchukizwa na jinsi watu walio na madaraka nchini kama Dkt. Mpango wanavyoyachukulia mambo mazito kirahisi namna hivi.
Hili ni eneo ambalo karibu kila wiki panatokea ajali mbaya sana, na Dkt. Mpango anasema kagueni magari kabla hayajapita hapa. Hii ni busara kweli?
Anapaswa kuelewa nini kinasababisha ajali pale kabla ya kutoa kile tunaita utatuzi wa kisiasa kwa tatizo la kisayansi.
Kwa kumsaidia tu na kumpa ushauri wa bure usio wa kisiasa, ni kwamba kuna sababu kubwa tatu zinazosababisha ajali pale;
Sasa Dkt. Mpango anapaswa kutoa wazo la kuzuia ajali pale kwa kuangalia hizo sababu tatu. Na kwa mawazo tu, haya yanapaswa kufikiriwa na Serikali ili kuzuia vifo na ajali za kila wakati eneo hili;
- Barabara imeharibika sana na kuweka matuta ya lami kudidimia ambayo mara nyingi yanakulazimu kupita upande usio wako wa barabara au kupoteza control ya gari unapopanda tuta kwa sababu gari zinayumba sana kwenye haya matuta
- Hiyo sehemu ina mlima/mteremko wa umbali mrefu
- Hiyo sehemu ni ya solid line ambayo huwezi ku-overtake gari nyingine (japo madereva wa mabasi hawajali hili)
Mwisho, ninawaomba sana viongozi wetu jaribuni kuwa serious na matatizo yanayowakabili Wananchi, hasa yale yanayosababisha vifo. Msitangulize kukimbia gharama za kutatua matatizo kama haya na kupendekeza majibu ya kisiasa ambayo hayatatusaidia. Kama tatizo ni fedha, tunakatwa sana tozo, tumieni hizo pale Inyala kama suala la emergency.
- TANROAD waamrishwe kutengeneza hili eneo haraka sana. Matengenezo yanayotakiwa hapa ni kama yale yaliyofanyika mteremko wa Kitonga katika kuzuia barabara kuweka matuta kutokana na uzito wa malori.
- Kwa kuwa hili ni eneo la mlima/mteremko wa umbali mrefu, pawekwe climbing lane ili kuwepo na njia tatu na ambayo moja itatumiwa zaidi na malori yanayopanda taratibu sana eneo hili
- Zaidi ya kuweka climbing lanes, eneo hili liwekwe "lay-by" kadhaa (yaani michepuko katika barabara iliyo kama sehemu ya kituo cha basi) ili madereva wanaopanda au kuteremka wawe na eneo la kuingia pale wanapoona gari lao linaanza kuleta matatizo na kulifanyia marekebisho, badala ya kusimamisha lori barabarani eneo la hatari.
Pole ndugu afadhali umesema sasa haya matatu uliyoweka hapo yanafanya sasa gari kubwa kutumia brake nyingi ambazo zinamaliza reserve ya upepo katika mitungi matokeo yake ni kufail brake. Hawa wanasiasa na polisi likitokea janga wao cha kwanza kutengeneza mazingira ya wao sio chanzo cha ajari na hawahusiki.Katika taarifa yake kuhusu ajali ya pale Inyala Mkoani Mbeya iliyoua watu kadhaa pamoja na DED wa Igunga, Gazeti la Mwananchi limetoa taarifa kwamba ajali hiyo imetokea ikiwa ni siku tatu zimepita baada ya Makamu wa Rais Dkt. Mpango kutoa maagizo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kuanza ukaguzi wa magari ya mizigo katika eneo hili.
Sasa nashindwa kuelewa busara ya Makamu wetu wa Rais kwamba suluhisho la kuzuia ajali pale Inyala ni kuyakagua magari ya mizigo kabla hayajapita kile kipande cha barabara. Hili nalipinga kwa dhati. Nimeshindwa na hata kuchukizwa na jinsi watu walio na madaraka nchini kama Dkt. Mpango wanavyoyachukulia mambo mazito kirahisi namna hivi.
Hili ni eneo ambalo karibu kila wiki panatokea ajali mbaya sana, na Dkt. Mpango anasema kagueni magari kabla hayajapita hapa. Hii ni busara kweli?
Anapaswa kuelewa nini kinasababisha ajali pale kabla ya kutoa kile tunaita utatuzi wa kisiasa kwa tatizo la kisayansi.
Kwa kumsaidia tu na kumpa ushauri wa bure usio wa kisiasa, ni kwamba kuna sababu kubwa tatu zinazosababisha ajali pale;
Sasa Dkt. Mpango anapaswa kutoa wazo la kuzuia ajali pale kwa kuangalia hizo sababu tatu. Na kwa mawazo tu, haya yanapaswa kufikiriwa na Serikali ili kuzuia vifo na ajali za kila wakati eneo hili;
- Barabara imeharibika sana na kuweka matuta ya lami kudidimia ambayo mara nyingi yanakulazimu kupita upande usio wako wa barabara au kupoteza control ya gari unapopanda tuta kwa sababu gari zinayumba sana kwenye haya matuta
- Hiyo sehemu ina mlima/mteremko wa umbali mrefu
- Hiyo sehemu ni ya solid line ambayo huwezi ku-overtake gari nyingine (japo madereva wa mabasi hawajali hili)
Mwisho, ninawaomba sana viongozi wetu jaribuni kuwa serious na matatizo yanayowakabili Wananchi, hasa yale yanayosababisha vifo. Msitangulize kukimbia gharama za kutatua matatizo kama haya na kupendekeza majibu ya kisiasa ambayo hayatatusaidia. Kama tatizo ni fedha, tunakatwa sana tozo, tumieni hizo pale Inyala kama suala la emergency.
- TANROAD waamrishwe kutengeneza hili eneo haraka sana. Matengenezo yanayotakiwa hapa ni kama yale yaliyofanyika mteremko wa Kitonga katika kuzuia barabara kuweka matuta kutokana na uzito wa malori.
- Kwa kuwa hili ni eneo la mlima/mteremko wa umbali mrefu, pawekwe climbing lane ili kuwepo na njia tatu na ambayo moja itatumiwa zaidi na malori yanayopanda taratibu sana eneo hili
- Zaidi ya kuweka climbing lanes, eneo hili liwekwe "lay-by" kadhaa (yaani michepuko katika barabara iliyo kama sehemu ya kituo cha basi) ili madereva wanaopanda au kuteremka wawe na eneo la kuingia pale wanapoona gari lao linaanza kuleta matatizo na kulifanyia marekebisho, badala ya kusimamisha lori barabarani eneo la hatari.
Marlezo yote haya ni hofu ya ukaguzi kwani mnabeba vitu gani?
Si wangeanzia hapo kwenye shida na mauaji ya kila sikuChadomo mna matatizo Sana aisee,yaani zaidi ya kuropoka sidhani kama hata mnafuatiliaga hata mipango ya Serikali zaidi kukurupuka..
Hiyo barabara inaanza kujengwa yote kutoka Igawa hadi Tunduma kuwa njia 4 na inaanza mwaka huu sio hadithi ila wanaanza kwa vipande kama Uyole hadi Airport na Mlowo hadi Tunduma..
Interventions aliyoagiza VP ni ya mda na nzuri tuu,wakishachepusha malori njia yake hakuna ajali utasikia hapo..
Pole ndugu afadhali umesema sasa haya matatu uliyoweka hapo yanafanya sasa gari kubwa kutumia brake nyingi ambazo zinamaliza reserve ya upepo katika mitungi matokeo yake ni kufail brake. Hawa wanasiasa na polisi likitokea janga wao cha kwanza kutengeneza mazingira ya wao sio chanzo cha ajari na hawahusiki.
Kuna mjinga mmoja anaweka foleni ya malory yafatane matokeo yake kwakuwa hayana mwendo na distance kati ya lorry na lorry ni ndogo yana mwaga upepo tu ngoma likifika down halina brake. Sie wananzengo tulifikiri wangeshauri trucks ziongeze ukubwa wa mitungi ya upepo, b. yake malorry yasiwekwe katika foleni na mwisho barabara iwe na parking anayemaliza upepo aingie kushoto kujaza upepo.
Yaani polisi wanasingizia marehemu wa watu bure wakati bado ajari zinazuilika, wenye mamlaka waache politike watimize wajibu wao sio majibu mepesi kila kukicha.
Kwa hapo sijajua ila wamekuja na hiyo intervention ya ku divert malori..Si wangeanzia hapo kwenye shida na mauaji ya kila siku
Mkuu toka miaka ya Magufuli akiwa Wazirii wa Ujenzi na Rais, serikali imenyanyapaa barabara za mkoa wa Mbeya kwa kiwango kikubwa.Katika taarifa yake kuhusu ajali ya pale Inyala Mkoani Mbeya iliyoua watu kadhaa pamoja na DED wa Igunga, Gazeti la Mwananchi limetoa taarifa kwamba ajali hiyo imetokea ikiwa ni siku tatu zimepita baada ya Makamu wa Rais Dkt. Mpango kutoa maagizo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kuanza ukaguzi wa magari ya mizigo katika eneo hili.
Sasa nashindwa kuelewa busara ya Makamu wetu wa Rais kwamba suluhisho la kuzuia ajali pale Inyala ni kuyakagua magari ya mizigo kabla hayajapita kile kipande cha barabara. Hili nalipinga kwa dhati. Nimeshindwa na hata kuchukizwa na jinsi watu walio na madaraka nchini kama Dkt. Mpango wanavyoyachukulia mambo mazito kirahisi namna hivi.
Hili ni eneo ambalo karibu kila wiki panatokea ajali mbaya sana, na Dkt. Mpango anasema kagueni magari kabla hayajapita hapa. Hii ni busara kweli?
Anapaswa kuelewa nini kinasababisha ajali pale kabla ya kutoa kile tunaita utatuzi wa kisiasa kwa tatizo la kisayansi.
Kwa kumsaidia tu na kumpa ushauri wa bure usio wa kisiasa, ni kwamba kuna sababu kubwa tatu zinazosababisha ajali pale;
Sasa Dkt. Mpango anapaswa kutoa wazo la kuzuia ajali pale kwa kuangalia hizo sababu tatu. Na kwa mawazo tu, haya yanapaswa kufikiriwa na Serikali ili kuzuia vifo na ajali za kila wakati eneo hili;
- Barabara imeharibika sana na kuweka matuta ya lami kudidimia ambayo mara nyingi yanakulazimu kupita upande usio wako wa barabara au kupoteza control ya gari unapopanda tuta kwa sababu gari zinayumba sana kwenye haya matuta
- Hiyo sehemu ina mlima/mteremko wa umbali mrefu
- Hiyo sehemu ni ya solid line ambayo huwezi ku-overtake gari nyingine (japo madereva wa mabasi hawajali hili)
Mwisho, ninawaomba sana viongozi wetu jaribuni kuwa serious na matatizo yanayowakabili Wananchi, hasa yale yanayosababisha vifo. Msitangulize kukimbia gharama za kutatua matatizo kama haya na kupendekeza majibu ya kisiasa ambayo hayatatusaidia. Kama tatizo ni fedha, tunakatwa sana tozo, tumieni hizo pale Inyala kama suala la emergency.
- TANROAD waamrishwe kutengeneza hili eneo haraka sana. Matengenezo yanayotakiwa hapa ni kama yale yaliyofanyika mteremko wa Kitonga katika kuzuia barabara kuweka matuta kutokana na uzito wa malori.
- Kwa kuwa hili ni eneo la mlima/mteremko wa umbali mrefu, pawekwe climbing lane ili kuwepo na njia tatu na ambayo moja itatumiwa zaidi na malori yanayopanda taratibu sana eneo hili
- Zaidi ya kuweka climbing lanes, eneo hili liwekwe "lay-by" kadhaa (yaani michepuko katika barabara iliyo kama sehemu ya kituo cha basi) ili madereva wanaopanda au kuteremka wawe na eneo la kuingia pale wanapoona gari lao linaanza kuleta matatizo na kulifanyia marekebisho, badala ya kusimamisha lori barabarani eneo la hatari.
Haya ndio matumizi sahihi ya akili sasa.Asante Mkuu, tumeliongelea sana humu swala la kuwa na 'Runaway trucks Ramp.
Malori Duniani kote huwa yanafeli breki kwenye miteremko mikali au mirefu.
Utaratibu kama wa Mbalizi upo pale Inyala.Ila kweli kile kipande anzia ile barabara ya MPYA kutoka makambako inapoishia ni kibaya Sana na mbaya barabara ni ndogo Sana,
Labda KWa mda kuanzishwe utaratibu Kama ule wa pale kwenye mlima wa kushuka Mbalizi, magari yasubiliane KWa nusu saa Kama wafanyavyo pale
Na wataisha kwelikweli haya mambo hayahitaji ujuaji...Nimeona taarifa ya Mkuu wa Mkoa Mbeya, Homera, akisema DED na dereva wake waliambiwa na polisi wa usalama barabarani wasubiri kwanza, wao wakalazimisha kwenda wakisema walikuwa na haraka.
Naona hiyo haraka yao ndio iliyosababisha mwendo kasi ulioleta ile ajali, ndio maana ile gari ya DED imechakaa vibaya sana. Hawa viongozi wa serikali waache kutumia vyeo vyao kulazimisha mambo hadi kwenda kinyume na taratibu, wataisha.
Unakwepa ukweli wa mambo.wapumbavu tupo wengi sana aisee.
Yaani miaka yoooote tunapambana na vitu vidogo vidogo saaana, WaAfrica tuna matatizo lakini watanzania tuna matatizo zaidi.
Viongozi wanamatatizo, wananchi wanamatatizo, CHANZO KIKUU NI POOR BASIC EDUCATION KWA WATU WOOOOTE.
Sio ndugu yako katika Imani huyuWanasiasa ni wavurugaji wakuu,tatizo la kitaalam wao wanaleta siasa.
Huyo Mzee long covid naona imekoroga upstairs.
Mfia dini ukiona sio wa Imani yako povu linakutoka. Pumbavu zakoNadhani hata kitambulisho cha NIDA hana.
Aisee kumbe, tatizo nao wakisha KUWA kwenye v8 Basi mazalau Kama yote wanaboaga sanaUtaratibu kama wa Mbalizi upo pale Inyala.
Hawa wakubwa waliooata ajali walisimamishwa wakakaidi.
Wameyapata ya kuwapata.
Lakini kimsingi barabara ni mbaya mbaya mbaya mno kipande chote toka Igawa hadi Tunduma.
Serikali iko kimya kama haioni.
Wananchi wamekufa wengi hadi tumechoka kulia.
Sasa tusubiri viongozi waendelee kufa kwa wingi ili suala lieleweke.
Sawa ila Kuna member hapo juu anasema walisimamishwa wakakaidi ,so ni vyema pia watu kutii SHERIA , unasimamishwa hutaki kisa ni mtu flani,sio sawaKwa intervention ya mda ndicho wanafanya kwamba magari yanasubiriana hata sasa lakini pia wameambiwa wafanye ukaguzi wa brake za malori kabla ya kushuka ila haieleweki kama Polisi walikagua brake au laa maana tatizo la kufeli brake lilijirudia..
VP alichosema na ambacho ni plan ya mda ya TanRoads ni ku divert malori kwenye njia nyingine Wakati wanajiandaa na kujenga hiyo barabara yote ikiwemo bypass..