Kwa hili la Kibu Denis viongozi wa simba mtaendelea kupandwa vichwani na wachezaji

Kwa hili la Kibu Denis viongozi wa simba mtaendelea kupandwa vichwani na wachezaji

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Viongozi wa Simba wanaendelea kufanya makosa yale yale Kila mara na awabadiliki!

Kibu Denis kwa kitendo alichokifanya alistahili adhabu ya maana na asingeruhusiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi, angetumikia kwanza adhabu yake ili liwe fundisho kwa wengine, lakini Cha ajabu kibu anaonekana Yuko juu ya timu anaweza kufanya chochote anachojisikia bila kuguswa!

Ni meseji Gani inatumwa kwa wachezaji wa kigeni na waliokuwepo?

Alichokifanya kibu kitafanywa na wengine kwakuwa wataendelea Kuona ni jambo la kawaida na awatoguswa!
Simba umesajili wachezaji 29 kwa Nini wawe wanyonge juu ya mchezaji mmoja?

Pale yanga walishaset standard yao juu ya masuala ya nidhamu kwa wachezaji uwa awacheki na kima ata uwe na ubora kiasi Gani watakufurusha, Rejea rekodi za wakina bangala, juma Shaban, lomalisa, wakiwa kwenye ubora wao waliachwa!

Bangala alitoa kauli ya kipuuzi wakati bado ana mkataba na klabu kuwa Kuna 80 ya kuondoka msimu Jana na 20 ya kubaki baada ya hapo yanga aikutaka mambo mengi wakamnyoa!

Juma shabani alikuwa anachochea migomo kwa wenzake na alikuwa anapush ili asajiliwe na Simba kilichomkuta alikosa vyote na sasa Yuko namungo baada ya kusota bila timu!

Lomalisa alikuwa kwenye genge moja na wakina juma shabani lakini badae alishtuka akawaambia atoongeza mkataba lakini Cha ajabu alipoona yanga awajamfatilia Wala kumzingatia akaibuka kuomba mkataba mpya wakamwambia asepe tu Awana mipango nae!

Hao ni wachezaji baadhi tu ambao walionja joto ya jiwe pale yanga, yanga awabembelezagi wachezaji ukileta fyoko fyoko ukajiona Bora watakuondosha tu!

Na nafikiri ndio maana timu inafanikiwa msingi mkubwa ukiwa ni nidhamu!

Sasa Simba mmeonyesha kuchutama mbele ya kibu Denis kwakuwa mnamtegenea sana mchezaji aliyefunga goli moja kwa msimu mzima!
 
Nilisema mapema kuwa Simba hawana ubavu Wala akiri ya kumuacha kibu hawana . Na niliwaambia popoma naweka 100k iwapo kibu hataitwa kujiunga na kikosi!!
 
Wale mashabiki waliokuwa wakimponda Kibu D, huku wakisisitiza kwamba hawamtaki! sijui wamezificha wapi sura zao!!
 
Ngoja tuone mwisho wake. Ila wanasema samehe saba mara sabini
 
Kama sio unyonge ni Nini? Kafanya utovu wa nidhamu na kaachwa ajiunge na kikosi, ajafanya mazoezi na wenzake mda mrefu ajui wenzake wamefundishwa Nini na kocha bado anakaribishwa
Kuna watu wanatumikia kifungo cha nje. Nayo ni adhabu. Kluivert alisababisha ajali, akahukumiwa kuitumikia jamii ikiwa ni pamoja na kuichezea timu ya taifa
 
Viongozi wa Simba wanaendelea kufanya makosa yale yale Kila mara na awabadiliki!
Kibu Denis kwa kitendo alichokifanya alistahili adhabu ya maana na asingeruhusiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi, angetumikia kwanza adhabu yake ili liwe fundisho kwa wengine, lakini Cha ajabu kibu anaonekana Yuko juu ya timu anaweza kufanya chochote anachojisikia bila kuguswa!
Ni meseji Gani inatumwa kwa wachezaji wa kigeni na waliokuwepo?
Alichokifanya kibu kitafanywa na wengine kwakuwa wataendelea Kuona ni jambo la kawaida na awatoguswa!
Simba umesajili wachezaji 29 kwa Nini wawe wanyonge juu ya mchezaji mmoja?
Pale yanga walishaset standard yao juu ya masuala ya nidhamu kwa wachezaji uwa awacheki na kima ata uwe na ubora kiasi Gani watakufurusha, Rejea rekodi za wakina bangala, juma Shaban, lomalisa, wakiwa kwenye ubora wao waliachwa!
Bangala alitoa kauli ya kipuuzi wakati bado ana mkataba na klabu kuwa Kuna 80 ya kuondoka msimu Jana na 20 ya kubaki baada ya hapo yanga aikutaka mambo mengi wakamnyoa!
Juma shabani alikuwa anachochea migomo kwa wenzake na alikuwa anapush ili asajiliwe na Simba kilichomkuta alikosa vyote na sasa Yuko namungo baada ya kusota bila timu!
Lomalisa alikuwa kwenye genge moja na wakina juma shabani lakini badae alishtuka akawaambia atoongeza mkataba lakini Cha ajabu alipoona yanga awajamfatilia Wala kumzingatia akaibuka kuomba mkataba mpya wakamwambia asepe tu Awana mipango nae!
Hao ni wachezaji baadhi tu ambao walionja joto ya jiwe pale yanga, yanga awabembelezagi wachezaji ukileta fyoko fyoko ukajiona Bora watakuondosha tu!
Na nafikiri ndio maana timu inafanikiwa msingi mkubwa ukiwa ni nidhamu!
Sasa Simba mmeonyesha kuchutama mbele ya kibu Denis kwakuwa mnamtegenea sana mchezaji aliyefunga goli moja kwa msimu mzima!
Umeongea point sana. Tena zenye mashiko mno. Na ndivyo timu zetu zinatakiwa ziwe hivyo. Isiwepo mipango ya mtu kuwa juu ya timu na huo ndio unakuwa mwanzo wa wachezaji wengine kuona kumbe inawezekana kufanya maajabu ajabu.

Ni kweli YANGA kwenye hilo wamefanikiwa sana sana. Hakuna mchezaji akaleta za kuleta,lazima peke yake atapitia stahiki zake mwisho wa msimu,hata awe ktk ubora gani.

Nikusanue Jambo hata toto tundu pamoja na zam kucheza makida na mbwembwe zote kumnyakua kihuni,mkataba ulivyo sasa kati ya zam na mabingwa kuhusiana na swala hilo. Ni hivi toto tundu akisajiriwa na timu nyingine toka zam lazima mabingwa walipwe bilioni moja. Ndio maana zam wakaishia kumuuza yule mshambuliaji wao tu japo toto tundu anatakiwa na timu nyingi sana. Wanakwama hapo tu wameshikwa mahala pake. Pamoja na na kwamba waliona wameikomoa bingwa na ugali+sukari yao.
Eng. H ni kichwa sana yule mwamba.
 
Viongozi wa Simba wanaendelea kufanya makosa yale yale Kila mara na awabadiliki!

Kibu Denis kwa kitendo alichokifanya alistahili adhabu ya maana na asingeruhusiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi, angetumikia kwanza adhabu yake ili liwe fundisho kwa wengine, lakini Cha ajabu kibu anaonekana Yuko juu ya timu anaweza kufanya chochote anachojisikia bila kuguswa!

Ni meseji Gani inatumwa kwa wachezaji wa kigeni na waliokuwepo?

Alichokifanya kibu kitafanywa na wengine kwakuwa wataendelea Kuona ni jambo la kawaida na awatoguswa!
Simba umesajili wachezaji 29 kwa Nini wawe wanyonge juu ya mchezaji mmoja?

Pale yanga walishaset standard yao juu ya masuala ya nidhamu kwa wachezaji uwa awacheki na kima ata uwe na ubora kiasi Gani watakufurusha, Rejea rekodi za wakina bangala, juma Shaban, lomalisa, wakiwa kwenye ubora wao waliachwa!

Bangala alitoa kauli ya kipuuzi wakati bado ana mkataba na klabu kuwa Kuna 80 ya kuondoka msimu Jana na 20 ya kubaki baada ya hapo yanga aikutaka mambo mengi wakamnyoa!

Juma shabani alikuwa anachochea migomo kwa wenzake na alikuwa anapush ili asajiliwe na Simba kilichomkuta alikosa vyote na sasa Yuko namungo baada ya kusota bila timu!

Lomalisa alikuwa kwenye genge moja na wakina juma shabani lakini badae alishtuka akawaambia atoongeza mkataba lakini Cha ajabu alipoona yanga awajamfatilia Wala kumzingatia akaibuka kuomba mkataba mpya wakamwambia asepe tu Awana mipango nae!

Hao ni wachezaji baadhi tu ambao walionja joto ya jiwe pale yanga, yanga awabembelezagi wachezaji ukileta fyoko fyoko ukajiona Bora watakuondosha tu!

Na nafikiri ndio maana timu inafanikiwa msingi mkubwa ukiwa ni nidhamu!

Sasa Simba mmeonyesha kuchutama mbele ya kibu Denis kwakuwa mnamtegenea sana mchezaji aliyefunga goli moja kwa msimu mzima!
Timu ndogo Huwa inatamani wachezaji wa timu kubwa,sambamba pia timu ndogo ikifunga timu kubwa ndo zinakuwa habar za mjini

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa Simba wanaendelea kufanya makosa yale yale Kila mara na awabadiliki!

Kibu Denis kwa kitendo alichokifanya alistahili adhabu ya maana na asingeruhusiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi, angetumikia kwanza adhabu yake ili liwe fundisho kwa wengine, lakini Cha ajabu kibu anaonekana Yuko juu ya timu anaweza kufanya chochote anachojisikia bila kuguswa!

Ni meseji Gani inatumwa kwa wachezaji wa kigeni na waliokuwepo?

Alichokifanya kibu kitafanywa na wengine kwakuwa wataendelea Kuona ni jambo la kawaida na awatoguswa!
Simba umesajili wachezaji 29 kwa Nini wawe wanyonge juu ya mchezaji mmoja?

Pale yanga walishaset standard yao juu ya masuala ya nidhamu kwa wachezaji uwa awacheki na kima ata uwe na ubora kiasi Gani watakufurusha, Rejea rekodi za wakina bangala, juma Shaban, lomalisa, wakiwa kwenye ubora wao waliachwa!

Bangala alitoa kauli ya kipuuzi wakati bado ana mkataba na klabu kuwa Kuna 80 ya kuondoka msimu Jana na 20 ya kubaki baada ya hapo yanga aikutaka mambo mengi wakamnyoa!

Juma shabani alikuwa anachochea migomo kwa wenzake na alikuwa anapush ili asajiliwe na Simba kilichomkuta alikosa vyote na sasa Yuko namungo baada ya kusota bila timu!

Lomalisa alikuwa kwenye genge moja na wakina juma shabani lakini badae alishtuka akawaambia atoongeza mkataba lakini Cha ajabu alipoona yanga awajamfatilia Wala kumzingatia akaibuka kuomba mkataba mpya wakamwambia asepe tu Awana mipango nae!

Hao ni wachezaji baadhi tu ambao walionja joto ya jiwe pale yanga, yanga awabembelezagi wachezaji ukileta fyoko fyoko ukajiona Bora watakuondosha tu!

Na nafikiri ndio maana timu inafanikiwa msingi mkubwa ukiwa ni nidhamu!

Sasa Simba mmeonyesha kuchutama mbele ya kibu Denis kwakuwa mnamtegenea sana mchezaji aliyefunga goli moja kwa msimu mzima!
Yanga raha sana, ni kiboko cha wachezaji wanaojiona wao ndiyo wao.
 
Viongozi wa Simba wanaendelea kufanya makosa yale yale Kila mara na awabadiliki!

Kibu Denis kwa kitendo alichokifanya alistahili adhabu ya maana na asingeruhusiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi, angetumikia kwanza adhabu yake ili liwe fundisho kwa wengine, lakini Cha ajabu kibu anaonekana Yuko juu ya timu anaweza kufanya chochote anachojisikia bila kuguswa!

Ni meseji Gani inatumwa kwa wachezaji wa kigeni na waliokuwepo?

Alichokifanya kibu kitafanywa na wengine kwakuwa wataendelea Kuona ni jambo la kawaida na awatoguswa!
Simba umesajili wachezaji 29 kwa Nini wawe wanyonge juu ya mchezaji mmoja?

Pale yanga walishaset standard yao juu ya masuala ya nidhamu kwa wachezaji uwa awacheki na kima ata uwe na ubora kiasi Gani watakufurusha, Rejea rekodi za wakina bangala, juma Shaban, lomalisa, wakiwa kwenye ubora wao waliachwa!

Bangala alitoa kauli ya kipuuzi wakati bado ana mkataba na klabu kuwa Kuna 80 ya kuondoka msimu Jana na 20 ya kubaki baada ya hapo yanga aikutaka mambo mengi wakamnyoa!

Juma shabani alikuwa anachochea migomo kwa wenzake na alikuwa anapush ili asajiliwe na Simba kilichomkuta alikosa vyote na sasa Yuko namungo baada ya kusota bila timu!

Lomalisa alikuwa kwenye genge moja na wakina juma shabani lakini badae alishtuka akawaambia atoongeza mkataba lakini Cha ajabu alipoona yanga awajamfatilia Wala kumzingatia akaibuka kuomba mkataba mpya wakamwambia asepe tu Awana mipango nae!

Hao ni wachezaji baadhi tu ambao walionja joto ya jiwe pale yanga, yanga awabembelezagi wachezaji ukileta fyoko fyoko ukajiona Bora watakuondosha tu!

Na nafikiri ndio maana timu inafanikiwa msingi mkubwa ukiwa ni nidhamu!

Sasa Simba mmeonyesha kuchutama mbele ya kibu Denis kwakuwa mnamtegenea sana mchezaji aliyefunga goli moja kwa msimu mzima!
Kwakuwa ni team mbumbumbu fc hilo linakosaje kwa mfano.
 
Umeongea point sana. Tena zenye mashiko mno. Na ndivyo timu zetu zinatakiwa ziwe hivyo. Isiwepo mipango ya mtu kuwa juu ya timu na huo ndio unakuwa mwanzo wa wachezaji wengine kuona kumbe inawezekana kufanya maajabu ajabu.

Ni kweli YANGA kwenye hilo wamefanikiwa sana sana. Hakuna mchezaji akaleta za kuleta,lazima peke yake atapitia stahiki zake mwisho wa msimu,hata awe ktk ubora gani.

Nikusanue Jambo hata toto tundu pamoja na zam kucheza makida na mbwembwe zote kumnyakua kihuni,mkataba ulivyo sasa kati ya zam na mabingwa kuhusiana na swala hilo. Ni hivi toto tundu akisajiriwa na timu nyingine toka zam lazima mabingwa walipwe bilioni moja. Ndio maana zam wakaishia kumuuza yule mshambuliaji wao tu japo toto tundu anatakiwa na timu nyingi sana. Wanakwama hapo tu wameshikwa mahala pake. Pamoja na na kwamba waliona wameikomoa bingwa na ugali+sukari yao.
Eng. H ni kichwa sana yule mwamba.
Toto tundu ni mchezaji wa timu gani na yupo ligi ipi hapa duniani
 
Back
Top Bottom