Kwa hili la kutufariji wakati wa majonzi nawapongeza sana wakenya

Kwa hili la kutufariji wakati wa majonzi nawapongeza sana wakenya

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Kwa kweli pamoja na utofauti wa hapa na pale. Ndugu zetu wa kenya wamekuwa pamoja na sisi katika msiba wa taifa uliotupata.

Nimemuona waziri wa elimu toka kenya kafika kwenye msiba. Kweli nia jambo zuri sana katika kuimarisha ushirikiano.

Kweli wadogo zetu wakenya wanajua sisi wakubwa zao ni tegemeo lao na wanakuwa bega kwa bega na sisi katika kipindi hiki cha majonzi.

Asanteni sana wadogo zetu wakenya. Mungu awatie nguvu katika uchaguzi.
 
Rafiki zake wa karibu baba jesca naona wamepga kimya, sijasikia ya M7 wala yule mtusi, nahisi urafk wao ni wa kinafki,

Wakenya tumetoka nao mbal sana asee, yan ni kama mke na mume ambao wanagombana kila siku bt hawawez kuachana coz washazoeana

Big up kwenu
 
Kwa kweli pamoja na utofauti wa hapa na pale. Ndugu zetu wa kenya wamekuwa pamoja na sisi katika msiba wa taifa uliotupata.

Nimemuona waziri wa elimu toka kenya kafika kwenye msiba. Kweli nia jambo zuri sana katika kuimarisha ushirikiano.

Kweli wadogo zetu wakenya wanajua sisi wakubwa zao ni tegemeo lao na wanakuwa bega kwa bega na sisi katika kipindi hiki cha majonzi.

Asanteni sana wadogo zetu wakenya. Mungu awatie nguvu katika uchaguzi.

Pia yupo Balozi kutoka Kenya
kiukweli kwa hili Nawapa hongera sana
Naanza kuwaombea Wamalize uchaguzi wao kwa Amani
 
Rafiki zake wa karibu baba jesca naona wamepga kimya, sijasikia ya M7 wala yule mtusi, nahisi urafk wao ni wa kinafki,

Wakenya tumetoka nao mbal sana asee, yan ni kama mke na mume ambao wanagombana kila siku bt hawawez kuachana coz washazoeana

Big up kwenu
Unajua unenichekesha japo we are mourning
 
Sawa, lakini nasikitika asante zako wewe hatutazipokea. Kwaheri.
mimi nawaombea uchaguzi mwema lakini uhuru kenyatta kazi anayo safari hii na akianzisha vita tu ajue ameegemea mlango wa the hegue
 
siku zote wakenya wamekua wakitegemea mambo mengi kutoka tanzania kwanzia chakula,ulinzi na mambo mengi
Na inafahamika kabisa kunajinsia huwa anapenda kuongea sana, huku wakihitaji protection. Zaidi sana tunawapenda sana wakenya maana hata maandiko yanasema tuwapende upande wa pili.
 
Na inafahamika kabisa kunajinsia huwa anapenda kuongea sana, huku wakihitaji protection. Zaidi sana tunawapenda sana wakenya maana hata maandiko yanasema tuwapende upande wa pili.
alafu watanzania hatuna chuki na yeyote hata ukiangalia m23 walipokua wanasumbua congo tulienda kuondoa kero hio, vita vya burundi tumetuliza, malawi tumetuliza na kenya tutatuliza🙂
 
Back
Top Bottom