Kwa hili la kutufariji wakati wa majonzi nawapongeza sana wakenya

Kwa hili la kutufariji wakati wa majonzi nawapongeza sana wakenya

Kumbuka hata tetemeko walikuja na maandamano ya magari ya jeshi.sijui wahutu na watusi kwa nini wamepiga kimya
Ndugu hebu ondoa ukabila hapa. Sisi Tanzania hatuendekezi mambo kama hayo. Peleka kwenu huko Kenya sisi kutaja ukabila kwetu ni mwiko. Tena iheshimu Tanzania.
Halafu kukupa pole siyo lazima. Ondoa ukabila wenu hapa TZ.
 
Kweli wadogo zetu wakenya wanajua sisi wakubwa zao ni tegemeo lao na wanakuwa bega kwa bega na sisi katika kipindi hiki cha majonzi.

Asanteni sana wadogo zetu wakenya. Mungu awatie nguvu katika uchaguzi.[/QUOTE]
MKUU ACHA UCHOKOZI
 
Pongezi ya nini bana, ama ni jambo la kushangaza? Wakenya tuko hivyo, usione tunagombezana hapa ukadhani tutafurahia mkipatwa na msiba.
 
Back
Top Bottom