Kwa hili la kutufariji wakati wa majonzi nawapongeza sana wakenya

Kusema wadogo zetu sio sifa nzuri...ila ni majirani wema na marafiki wa kweli....tuwashukuru waasisi wetu mzee kenyata na nyerere kwa bond ya maana....solidarity forever
Kwahiyo wakenya sio wadogo zetu?
 
Rafiki wa kweli ni yule akufae kwenye shida na raha
 
Wakenyaa tunawashukuru
Kwakweli mmeonesha ushirikiano wenu katiks hili tukio n mshukiru mh matiang
Kwa kuwakilisha wakenya wote mungu awabarik
 
Ni Uhuru Kenyatta mkuu. Anyway, we accept only the genuine expressions of gratitude, sio hizi za kinafiq.
Mzee Jomo was fond of saying nawarudishieni salamu zenu. Naona Uhuru amerithi kwa baba.
 
Tuna washukuru sana pamoja sana majirani zetu
 
Uko ironic sana ati wadogo we2..izo asante zako jiekee punda hi
 
Mkuu ushaona wapi huyo mtutsi na M17 wana urafiki wa kweli? Kama sio wa maslahi
 

Pole zangu ziwafikie waliopatikana na maafa lakini kwa upande mwingine Uzi huu nauchukulia kama kejeli za aina tu kutoka kwa mleta mada. historia yake ipo wazi hapa jf kuhusu matukio ya maafa Kenya sana sana kutoka alshabaab!!! Yeye na wenzake akili punguani uweka sherehe na picha andamizi za mashambulio ya ugaidi kenya huku akidunisha juhudi zetu kupigana na alshabaab. kwa hivyo salamu zake za pongezi nazipokea kama uhuni tu!!!!
 
Waafrika ni wamoja kenya jirani zetu na watani wetu Mungu awaepushe na husda za alshabaab katika kipindi hichi muhimu cha uchaguzi
 
Kumbuka hata tetemeko walikuja na maandamano ya magari ya jeshi.sijui wahutu na watusi kwa nini wamepiga kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…