Kwa hili la kuwasafirisha Yanga, natofautiana na Serikali

NATAKA NIWAAMBIE ALIESIMAMA HAPA N RAISI.

NENO LAKE N LA MWISHO
 
Kwa mentality za kupikia mashabiki supu na kuruhusu mashabiki kuingia bure, sahau maendeleo. Siyo yanga tu hata hao wengine nao wana uswahili.
Umefikiria hayo tu?
Vipi kwasasa ujenzi wa uwanja upo kwenye mchakato wa kuanza kujengwa.
Vipi kwasasa Yanga wana point 31 vs 39 za Simba wakati awali walikuwa na 0.5?
Vipi kuhusu Yanga kwasasa ipo katika mchakato wa kuwa ni kampuni?
Vipi kuhusu ubingwa wa NBC?

Tukiweka graph ya maendeleo basi yanga inapanda juu huku simba ikiporomoka chini na ndio maana sio ajabu kuona Whatsapp channel, na kibegi mkijisia tena kwenye mkutano mkuu kuwa ndio mafanikio yenu
 
Nyie hamkuonyesha uzalendo kama wa Yanga kuruhusu mashabiki waingie bure kutazama mechi
'Visit Tanzania' imetangazwa bure na simba karibu misimu miwili kwenye mashindano makubwa ya CAF. Je 'Visit Tanzania' haikuwa uzalendo?. Ila ni dhahiri tu serikali wanaiona uto ni timu yao wakati timu yao ni Tanzania Prison , Polisi Tanzania na JKT
 
Mnaolalamika hapa kumbukeni hapa mnazungumzia timu yenye medali za CAF kumbukeni hii ni timu iliyocheza fainali mashindano makubwa Afrika na ndiye timu yenye makombe mengi ya Ligi kuliko timu yoyote na bado inaongoza ligi kwa sasa, Msisahau hilo! Mimi ni Simba ila Serikali ipo sahihi
 
Mafanikio ya yanga yanakuwepo Mara nyingi serikali unapokuwa ya kifusadi, timu zinaporuhusu mashabiki bure huwa zinajiweza kifedha. Kama yanga waliruhusu mashabiki bure inakuwdje inakosa pesa za kumsafirisha mashabiki wake.
Ni siasa imetumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…