Kwa hili la kuzuiwa Barbara, Karia jiuzulu haraka

Hivi kuna sababu gani za kuandika kuwa watoto hawaruhusiwi eneo lile inamana pale huwa wanafanya na ngono au halafu unamzuia mtu wa timu mwenyeji unamuingiza mtu mwingine ambaye hana hata kadi ya mwaliko
 
Wale wahindi wanajisahau sana na kujifanya wenyewe ni sehemu ya watanzania

Unakuja na tickets zenye mialiko maalumu kwa maofisa wa bodi na kamati tendaji ndio hao watoto wa kihindi wazitumie, it's big NO coz huu sio uwanja wenu ambao mnakuwa na kila mandatory ya kila kitu mnachojisikia kufanya ila huu ni uwanja wa Taifa na una kila taratibu zake hasa katika jukwaa la VVIP

Nyie mazezeta wa kihindi acheni kufanya huu mpira kama ni wa ukoo wenu kama mliyoifanya timu ya simba kuwa ya ukoo wenu
 
Umewahi kuingia bar! Usibeze kazi za watu. Kila kazi au shughuli ina sheria, kanuni na taratibu zake.
 
Hawa makolo waache Uzezeta kwa wahindi wao, sasa kila ofisa wa bodi na kamati tendaji akija na watoto watatu akae nao jukwaa la VVIP, Je pata tosha kweli?

Tumieni akili kufikiria nyie
Acha upuuzi wewe utopolo,wale watoto wamekuja baada ya walioalikwa kushindwa kuja na idadi yao ndio iliyochukuliwa na watoto
 
Acha upuuzi wewe utopolo,wale watoto wamekuja baada ya walioalikwa kushindwa kuja na idadi yao ndio iliyochukuliwa na watoto
Hivi unajua maana ya utaratibu uliowekwa, kwani wale watoto wa kihindi ni maofisa wa bodi au kamati tendaji mpk watumie special tickets kuingia VVIP

Kila sehemu kuna utaratibu wake na maofisa wa Simba na Yanga wanajua kabisa utaratibu uliopo jukwaa la VVIP ila upande wa simba mmechagua kufanya vurugu

Uzezeta wenu wa kihindi msiulete huku kwenye soka letu ila liacheni huko huko kwenye timu yenu ya ukoo nyie makolo bwenzi
 
Acha upuuzi wewe utopolo,wale watoto wamekuja baada ya walioalikwa kushindwa kuja na idadi yao ndio iliyochukuliwa na watoto
Baada ya walioalikwa kushindwa kuja babra alimtaarifu nani? Alitoa taarifa bodi ya ligi? Na sidhani Kama walikosekana viongozi wengine wa simba walikosekana wa kuwapa izo kadi hii ni tabia ya uyu dada kuwa mbinafsi anataka kuonekana yeye tu kila tukio ni ujinga, umeshaambiwa watoto awaruhusiwi hilo eneo yeye anataka kulazimisha kana kwamba aelewi utaratibu waliokubaliana na bodi ya ligi, anabeba familia yake badala ya kuwapa viongozi wenzake wengine izo kadi aliona atakuwa amewafaidisha Sana, uyu mama ni mpuuzi sana
 
Watazitapika tu hizo hela za mchongo za uyo bwana wao gsm ila tutawabana mwanzo mwisho
 
Hii nchi kama ilivyo kwenye ule wimbo mataifa wanaililia sana.
Nimeshangaa sana kutambua kuwa aliyechukua tenda /kazi ya kutafsiri klabu ya yanga wakati kocha wao nabi anaongea sio mtanzania.Najiuliza hawa wageni wanapenyaje penyaje sisi tunalalamika tu.
 
Kwa hiyo hao watoto TFF walitaka waende wapi?

Wasije uwanjani?

Wasiingie kutazama mpira?

Hivi uwanjani siku hizi imekuwa ni cassino? Ama imekuwa night club?

Wamezingua sana.
Cha kujiuliza kwanza , ni hiyo sheria ipo?kabla ya kuanza kutoa povu, kwani tatizo la nchi hii, yaani mahaba ya kitu yanawafanya watu waache kuona uhalisia!!kama sheria ipo ya kuwwzuia watoto wasikae kwenye jukwaa hilo ni sawa, kwani walioiweka wanafahamu ni kwanini wwliamua hivyo!!ila haipo walikosea.ila mimi ninacho kiona licha ya hayo yote yanayotokea ina bidi awe makini sana!kuna siku atajichanganya tu kidogo atapigwa ban hiyo !!kwani mpira wa nchi hii ni gitina tupu.WEKA UGOKO NASHUSHA NONDO!!!
 
Hivi kuna sababu gani za kuandika kuwa watoto hawaruhusiwi eneo lile inamana pale huwa wanafanya na ngono au halafu unamzuia mtu wa timu mwenyeji unamuingiza mtu mwingine ambaye hana hata kadi ya mwaliko
Sasa mkuu kila mtu akija na mtoto wake pale eneo la VVIP si itakua kama changanyikeni.

Ile ni sehemu special kwa watu maalumu ndio maana kuna kadi kabisa.

Em assume kua Babra aje na watoto wake,Mo aje na watoto wake,Murtaza nae aje na watoto wake.
 
“Nafikiri Utaratibu wa eneo la VVIP uliwekwa mapema.. Nani anatazamiwa akakae wapi na kwa Taratibu zipi!

Kadi zilikuwa na majina ya wahusika na ikaelezwa kabisa [Siku moja kabla] NI MARUFUKU MTU KUTUMIA KADI YA MTU

Kadi za VVIP pia zikasema kuwa WATOTO HAWARUHUSIWI eneo Lile..

Kama hizi Taratibu zilizungumzwa na kukubalika pamoja, kwanini iwe Tatizo kwenye Utekelezaji?

Kama kulikuwa na changamoto yoyote kwenye makubaliano, yalitakiwa kuwasilishwa mapema kabla ya siku ya mchezo!

Wachezaji kiwanjani wametuonyesha Thamani ya FAIR PLAY kwenye soka!

Tazama namna wachezaji baada game kuisha walivyokuwa wanafuraha wenyewe kwa wenyewe na hiyo inadhihirisha mchezo wa mpira ni mchezo wa kiungwana

Lakini nje ya uwanja, 'watu wachache' kwa 'sababu zao binafsi' wanataka kutuonyesha kuwa hakuna UUNGWANA kwenye Soka letu

Hii sio Sawa” ..📌
 
Ninavyojuwa Mimi Vvip zile seat wanapewa waalikwa, viongozi maalum wa tff, serikali na vilabu husika. Sasa wewe unapewa mwaliko na kadi ya single, wewe unabeba na watoto, Tena siyo mmoja nasikia alikuwa na watoto watatu. Sasa alitaka wageni wengine waalikwa wakija wakae wapi? Mshaurini huyo Mama yenu aache uswahili. Kama alitaka kuja na watoto wake angewanyima viongozi wenzie wa klab hizo ticket akawapa wanawe. Tusiendekeze ujinga na mambo ya kujifsnya much know. Tuseme ukweli huyo CEO wenu kachemka. Wasimamixi/ kamati ya mapokezi ilikuwa sahihi kuzuia watoto wasiingie Vvip.
 
Huyu dada anataka kutupanda kichwani anataka kujiona yeye ndo mkubwa kuliko kitu chochote, sasa huo upumbavu wake awapelekeage hao hao mambumbu Bu wenzake, Sheria na taratibu zifatwe et anajikuta ana elimu, elimu gan? Karne hii Kuna mtu hajasoma apeleke huko
 
"HII TIMU NA GENGE LAKE LA WAHUNI TFF IMEWALEA SANA.... SASA TFF INABEBERUSHWA KIMADHARAU.... LINI UMESIKIA MAN U INASHINDANA NA FA...?? TFF WANATAKIWA WAJUE WAMECHEKA NA MBWA NA SASA WANAINGIA NAE MASJID"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…