Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes katiba itamke sifa za mbunge huku kiwango cha elimu kianzie degree kwenda juu. Hii itaondoa wabunge wapumbavu bungeni ambao wanajigamba na darasa la nne na la saba lao wakati huo huo wakiugua wanaenda kutafuta madaktari bingwa wasomi hata nje ya nchi.Ujumbe wako umebeba mambo mawili makuu (nadhani ndio kiini au lengo la kuleta ujumbe); katiba, na wabunge wasomi. Je, unataka kutuambia kuwa, katiba ianishe moja ya sifa ya wabunge ni kuwa wasomi? Na usomi huo uwe wa kiwango gani?
tatizo kubwa ni lile koroboi wanalolizungushaga . linapumbaza akili na kuwa mazuzu.Huzuni ni pale wananchi hatuwez kuchukua hatua tumekuwa ndugu watazamaji[emoji24]
Kipindi cha jpm haya mambo ya safari aliyatupilia mbali wabunge wakaqnza kubweka ,ukisikia mama anafanya kaz nzuri I pamoja na hayoKama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.
Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini
Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?
Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?
Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni
Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Kelelee mradi wa bandari ni mzuri wacha mwalabu ajee, mutapata ajira, mbona magu alijenga Airpot chato hamukuhoji hela alitoa wapi?Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.
Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini
Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?
Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?
Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni
Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Dada ongeza sauti tafadhali!!Huyo mbunge atakuwa ni poyoyo wa mwisho bungeni. Aondolewe bungeni. Haelewi hata maana ya "study tour".
Utalii wa kujifunza hatakiwi kuambiwa anaenda kufanya nini, anaambiwa tu hii ni study tour. Baada ya hapo ajifunze yeye mwenyewe chochote atachojifunza huko. Sasa kama poyoyo hajajifunza umlaumu Spika?
Wameenda wabunge 30 Dubai, yeye peke yake ndiye hajuwi alienda kufanya nini, hayupo sawa kabisa. Ni poyoyo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Na huyo aliyejuwa anamuhoji pia nae ni piyoyo tu. Enzi zangu mtu kama nayasindikiza maelezo yake na bonge la kibao!! Muongo zembe mkubwa!Kwa hiyo huyo mbunge yeye akiambiwa kuna safari basi anakimbilia posho tu. Anakwenda safari km mzigo hajui ht afanyalo masikini!
Sasa huyo ana uchungu na pesa zetu kweli!
Hakuna aliyeipiga mnada nchi. Tukuze uelewa wetu kwanza kabla ya kutumbia katika mikumbo ya lawama na matusi.Pale hamna spika, Anna Makinda alishiriki kuuza gesi ya Mtwara, huyu kashiriki kupiga mnada nchi
Hili bunge ni sehemu ya hasara za kitaifa. Bora DP Word wangelichukua tuKama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.
Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini
Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?
Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?
Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni
Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Ni kweli. Inasikitisha sana kuona watu wanaotuwakilisha kutamka maneno ya kutia aibu na kukatisha tamaa. Hivi kweli mbunge mzima unajisifia kuishia darasa la nne au la saba?! Hapo unawafundisha au kuwaelekeza nini wananchi wako? Mimi nadhani mbunge hata kama hukubahatika kupata elimu, huna haja ya kujisifia kukosa elimu hiyo, bali uwe mstari wa mbele kuhimiza watu waitafute elimu kwa juhudi zao zote. Elimu ni ufunguo wa maisha, hivyo kila mtu yampasa kuipata. Kama hukuipata, hiyo ni bahati mbaya sana kwako, lakini isiwe sababu ya kujisifia kuikosa. Kwa habari ya kuongeza eneo la uwakilishi, hilo ni jambo jema ikiwa mhusika (mbunge) ataweza kuhudumia eneo husika, kwani hii itaipunguzia serikali mzigo mkubwa wa kuwahudumia hawa wawakilishi wetu.Yes katiba itamke sifa za mbunge huku kiwango cha elimu kianzie degree kwenda juu. Hii itaondoa wabunge wapumbavu bungeni ambao wanajigamba na darasa la nne na la saba lao wakati huo huo wakiugua wanaenda kutafuta madaktari bingwa wasomi hata nje ya nchi.
Pia viti maalum kwa wanawake viondolewe kwa sababu kwa sasa kila mifumo unawasapoti. Lakini pia majimbo yapunguzwe, yaani mbunge mmoja asimamie hata majimbo ma3 hii itasaidia serikali kupunguza gharama kubwa ya kuendesha hilo bunge lisiroiwajibisha serikali. Kwa namna hiyo napendekeza ndani ya bunge wabunge wasizidi 150
🤣🤣🤣Tulieni vijana maana ukiona panapofuka moshi ujue Pana jambo linatendeka kwani Aya yote kama mliyaona mliwezaje kushindwa kuzuia mpk tunaingia kwenye shida kiasi hiki🤔Pale hamna spika, Anna Makinda alishiriki kuuza gesi ya Mtwara, huyu kashiriki kupiga mnada nchi