Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ipi? Suala ni kwamba we are a bit humane hata mhalifu anapaswa kuonewa huruma to some extent. Kwa hiyo adhabu ya juu ni kumuua but it has to be done humanely!Kifo si adhabu sahihi ya mtu katili maana kila mtu anakufa na kuna ambao wanajitanguliza wenyewe.
Kuna adhabu ambazo katili mwingine akizishuhudia hafikirii hata kufanya jambo linalotaka kufanana na anayepata adhabu.