Poleni sana wana Mbarali,
Jana nimemfuatilia Mbunge wa Mbarali Mtega akielezea kwa huzuni kubwa jinsi Watumishi wa TANAPA walivyowatesa wananchi wa vijiji vinanvyopakana na hifadhi kwa kuwachapa na kuwavua wanawake nguo zao na kubaki uchi, kuwapiga mbuzi na mbwa kwa risasi za moto na kuwauwa.
Hii ni aibu kubwa kwa nchi na kutokana na aibu hii;
(1) Kwanza lazima Waziri wa Maliasili awajibike kwa kujiuzulu.
(2) Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA awajibike kwa kujiuzulu.
(3) Mhifadhi Mkuu wa eneo husika awajibike na ajiuzulu.
Maaskari wa TANAPA nchi nzima wanawatesa sana wananchi wanaoishi jirani na hifadhi za wanyamapori. Hii ni aibu kubwa kwa nchi na lazima hatua kali ichukuliwe na iwe fundisho kwa wengine.
Jana nimemfuatilia Mbunge wa Mbarali Mtega akielezea kwa huzuni kubwa jinsi Watumishi wa TANAPA walivyowatesa wananchi wa vijiji vinanvyopakana na hifadhi kwa kuwachapa na kuwavua wanawake nguo zao na kubaki uchi, kuwapiga mbuzi na mbwa kwa risasi za moto na kuwauwa.
Hii ni aibu kubwa kwa nchi na kutokana na aibu hii;
(1) Kwanza lazima Waziri wa Maliasili awajibike kwa kujiuzulu.
(2) Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA awajibike kwa kujiuzulu.
(3) Mhifadhi Mkuu wa eneo husika awajibike na ajiuzulu.
Maaskari wa TANAPA nchi nzima wanawatesa sana wananchi wanaoishi jirani na hifadhi za wanyamapori. Hii ni aibu kubwa kwa nchi na lazima hatua kali ichukuliwe na iwe fundisho kwa wengine.