Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri hapa nchini LATRA jana ilitoa waraka wa kuyafungia mabasi ya Kampuni ya Ally's Star na Katarama kwa Sababu walizozitaja kuwa Eti wanashindana kufika kwenye vituo vya Mabasi na mabasi yao kumwagiwa Maji.
Kama LATRA wangekuja na Hoja ya mabasi haya kufika kwenye vituo kabla ya wakati ningewaelewa ila kinachofanyika kwa sasa ni Ubabaishaji wa kiwango cha hali ya juu na ni nia Ovu ya kudhoofisha biashara za wenye mabasi na Biashara z wasafiri wenyewe ambao huo muda wa safafi wa saa tisa ulikua unasaidia sana. Nafikiri LATRA wanaomuda wa kujitafakari na kuwarudishia Allys na Katarama Muda wao wa saa sita wa safari.
Mabasi haya yamekuja kuleta ushindani wa mabasi ya Madaraja ya Raha (Luxury) ambapo tumeona Mikoa yote kwa sasa kuna mabasi ya madaraja ya Biashara ambapo wasafiri tumekua tukisafiri kwa Raha zaidi, na kufurahia safari zetu, hivyo Latra wamekosea, kwakua madereva wa magari haya wanatembea Mwendo ambao ni wa kawaida, wanapita kwenye vituo vya mabasi kwa muda uliopangwa hivyo Sababu zao ni za Hovyo na Kwa haraka wanapaswa kurudisha mabadi haya kuanza kufanya kazi kwa muda waliotoa kibali.
Kama LATRA wangekuja na Hoja ya mabasi haya kufika kwenye vituo kabla ya wakati ningewaelewa ila kinachofanyika kwa sasa ni Ubabaishaji wa kiwango cha hali ya juu na ni nia Ovu ya kudhoofisha biashara za wenye mabasi na Biashara z wasafiri wenyewe ambao huo muda wa safafi wa saa tisa ulikua unasaidia sana. Nafikiri LATRA wanaomuda wa kujitafakari na kuwarudishia Allys na Katarama Muda wao wa saa sita wa safari.
Mabasi haya yamekuja kuleta ushindani wa mabasi ya Madaraja ya Raha (Luxury) ambapo tumeona Mikoa yote kwa sasa kuna mabasi ya madaraja ya Biashara ambapo wasafiri tumekua tukisafiri kwa Raha zaidi, na kufurahia safari zetu, hivyo Latra wamekosea, kwakua madereva wa magari haya wanatembea Mwendo ambao ni wa kawaida, wanapita kwenye vituo vya mabasi kwa muda uliopangwa hivyo Sababu zao ni za Hovyo na Kwa haraka wanapaswa kurudisha mabadi haya kuanza kufanya kazi kwa muda waliotoa kibali.