Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba LATRA ni taasisi kubwa sio, Inajiendesha yenyewe bila watu? Kama inaendeshwa na watu hao watu ni malaikaKwahiyo ww unashauri LATRA wasubiri ikitokea ajali ndio wafungie? Watu wengine bana! Halafu hawajafungiwa Bali wamerudishiwa kwenye ratiba ya zamani ya kuanza safari saa 12 asubuhi.
Halafu LATRA ni Taasisi kubwa hivyo maamuzi yao lazima yafuate taratibu zote za haki na usawa. Ukiona wamefanya hivyo ujue hizo kampuni zimepewa maonyo mengi bila kujirekebisha! Hiv unafikiri mtu anaweza kutoka kitandani tu na matongotongo akafungie kampuni bila sababu? Think twice [emoji34]
Itaanza Rasmi Baada ya June 30, wanatumia Grace PeriodPia kwa Agizo la Mwigulu la June, 2023 (Budget), LATRA haina mamlaka ya kufuta leseni. Sijui hawa LATRA huwa hawaskilizi BUNGE?
Sindio Maana wanafikiri HatujuiWakimaliza huko waende wakafungie Sauli na New Force kule njia ya Dar-Tunduma
Mbona ata hao hawajafungiwa,wamerudishwa kwenye route ya kuanza safari saa 12Wakimaliza huko waende wakafungie Sauli na New Force kule njia ya Dar-Tunduma
Wacha Mamlaka ifanye kazi nunda wewe!! Ushindani wa spidi ilii kufila mapema ndiyo chanzo cha ajali za HOVYO za mabasi.
LATRA endeleeni na kuyyafungia magari yote yanayokiuka taratibu zenu, achana na hawa wanaoshindana kuwahi kufika.
Pia kwa Agizo la Mwigulu la June, 2023 (Budget), LATRA haina mamlaka ya kufuta leseni. Sijui hawa LATRA huwa hawaskilizi BUNGE?
Kuna onyo la kufuta leseni ktk hiyo barua.Hawajafutiwa leseni ni mda badala ya kuanza safari saa 9 badala yake wataanza safari saa 12 asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinga ni bora kuliko tiba, wasisubiri mpaka gari hizo zipate ajali na kugharimu maisha ya watu au kuwafanya vilema ndiyo wachukue hatua.Nitajie Basi ambalo limepata ajali kati ya hayo ya Allys Star na Katarama! kwahivyo Kama we unapanda Ndege Panda kimpango wako, sisi tunaotumia Allys Star na Katarama tunayo haki ya kwenda na wakati. kama Kesi ingekua Spidi Vingamuzi vipo, mbona hatujaskia aliyefungiwa kwa kujaribu kukiharibu.
Mzee baba inaonyesha unapenda sana kuandika hilo neno kwenye simu yako 😂😂😂Wacha Mamlaka ifanye kazi nunda wewe!! Ushindani wa spidi ilii kufila mapema ndiyo chanzo cha ajali za HOVYO za mabasi.
LATRA endeleeni na kuyyafungia magari yote yanayokiuka taratibu zenu, achana na hawa wanaoshindana kuwahi kufika.
Wewe pimbi kinga ni bora kuliko tiba.Nitajie Basi ambalo limepata ajali kati ya hayo ya Allys Star na Katarama! kwahivyo Kama we unapanda Ndege Panda kimpango wako, sisi tunaotumia Allys Star na Katarama tunayo haki ya kwenda na wakati. kama Kesi ingekua Spidi Vingamuzi vipo, mbona hatujaskia aliyefungiwa kwa kujaribu kukiharibu.
Serikali imejaa watendaji wababaishaji na wala rushwa,watu wanapewa kazi kwa kujuana na sio kuwa na taaluma, ubabaishaji na umimi mwingi sana,wangetoa sababu kwamba ving'amuzi vimechezewa sawa,lakini sio sababu zisizo na afya,kuendesha biashara sio sawa na kukaa ofisini na kusubiri mshaharaPia kwa Agizo la Mwigulu la June, 2023 (Budget), LATRA haina mamlaka ya kufuta leseni. Sijui hawa LATRA huwa hawaskilizi BUNGE?
Noted, thanks
kwa mwendo upi hasa ? wastani wa 70kph ?wasisubiri mpaka gari hizo zipate ajali na kugharimu maisha ya watu
Hata huko hawajafungia ila wamebadilishiwa ratiba, mabasi yako barabarani bado, ila wengi wape acha tuite wamefungiwa.Wakimaliza huko waende wakafungie Sauli na New Force kule njia ya Dar-Tunduma
Hawaja "fungua" kampuni.Suala la muda. Ila nadhani diplomasia ni nzuri kuliko kutumia ubabe .
Kulikua na njia sahihi ya kukomesha hili sio kufungua kampuni.