Kwa hili LATRA mmechemka

Kwa hili LATRA mmechemka

Kwahiyo ww unashauri LATRA wasubiri ikitokea ajali ndio wafungie? Watu wengine bana! Halafu hawajafungiwa Bali wamerudishiwa kwenye ratiba ya zamani ya kuanza safari saa 12 asubuhi.
Halafu LATRA ni Taasisi kubwa hivyo maamuzi yao lazima yafuate taratibu zote za haki na usawa. Ukiona wamefanya hivyo ujue hizo kampuni zimepewa maonyo mengi bila kujirekebisha! Hiv unafikiri mtu anaweza kutoka kitandani tu na matongotongo akafungie kampuni bila sababu? Think twice [emoji34]
Kwamba LATRA ni taasisi kubwa sio, Inajiendesha yenyewe bila watu? Kama inaendeshwa na watu hao watu ni malaika
 
Exactly Mkwe21 Maana katika taarifa yao sijaona ambapo Hayo mabasi yaliyoondolewa saa tisa usiku ambapo walifika kwenye kituo kabla ya wakati, Sijawahi kuona Onyo kali lolote.. si Mpango huo?
 
Wakimaliza huko waende wakafungie Sauli na New Force kule njia ya Dar-Tunduma
 
Nitajie Basi ambalo limepata ajali kati ya hayo ya Allys Star na Katarama! kwahivyo Kama we unapanda Ndege Panda kimpango wako, sisi tunaotumia Allys Star na Katarama tunayo haki ya kwenda na wakati. kama Kesi ingekua Spidi Vingamuzi vipo, mbona hatujaskia aliyefungiwa kwa kujaribu kukiharibu.
Kinga ni bora kuliko tiba, wasisubiri mpaka gari hizo zipate ajali na kugharimu maisha ya watu au kuwafanya vilema ndiyo wachukue hatua.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Wacha Mamlaka ifanye kazi nunda wewe!! Ushindani wa spidi ilii kufila mapema ndiyo chanzo cha ajali za HOVYO za mabasi.

LATRA endeleeni na kuyyafungia magari yote yanayokiuka taratibu zenu, achana na hawa wanaoshindana kuwahi kufika.
Mzee baba inaonyesha unapenda sana kuandika hilo neno kwenye simu yako 😂😂😂
 
Nitajie Basi ambalo limepata ajali kati ya hayo ya Allys Star na Katarama! kwahivyo Kama we unapanda Ndege Panda kimpango wako, sisi tunaotumia Allys Star na Katarama tunayo haki ya kwenda na wakati. kama Kesi ingekua Spidi Vingamuzi vipo, mbona hatujaskia aliyefungiwa kwa kujaribu kukiharibu.
Wewe pimbi kinga ni bora kuliko tiba.
 
Pia kwa Agizo la Mwigulu la June, 2023 (Budget), LATRA haina mamlaka ya kufuta leseni. Sijui hawa LATRA huwa hawaskilizi BUNGE?
Serikali imejaa watendaji wababaishaji na wala rushwa,watu wanapewa kazi kwa kujuana na sio kuwa na taaluma, ubabaishaji na umimi mwingi sana,wangetoa sababu kwamba ving'amuzi vimechezewa sawa,lakini sio sababu zisizo na afya,kuendesha biashara sio sawa na kukaa ofisini na kusubiri mshahara
 
LATRA wako sahihi kabisa! mleta hoja kaa chini ujitafakari tena! Ila aonekana wewe ni mmiliki wa kupata faida ya tumbo lako na vito vyako bila kujali haki na maisha ya abiria wako!
 
Back
Top Bottom