Hellow Tanganyika,
Katika wimbo huu Kuna mashairi yasemayo,
"Alipoturejesha tulikuwa waota ndoto, hatukuamini macho yetu*2🎶
"Sio free mason, ni Mungu anetenda"*3🎶
Sio mazingaombwe, ni Yesu amefanya"*5🎶
Ameteeeenda Bwanaaa anetendaaaaaa*6🎶
Siamini, siamini ,Leo amenikumbukaaaaaa*4🎶🎵
Tulilia sana, tuliitwa maskini, ombaomba, lakini Leo......!!🎵
Ameteeenda, ameteeenda*4
Mbooona kama naotaaaa*4🎶🎵
Tuungane na mvua inayonyesha Dar kumshukuru Mungu juu ya ushindi wa TUNDU Lissu.
Ubarikiwe TUNDU Lissu,
MUNGU ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏
Katika wimbo huu Kuna mashairi yasemayo,
"Alipoturejesha tulikuwa waota ndoto, hatukuamini macho yetu*2🎶
"Sio free mason, ni Mungu anetenda"*3🎶
Sio mazingaombwe, ni Yesu amefanya"*5🎶
Ameteeeenda Bwanaaa anetendaaaaaa*6🎶
Siamini, siamini ,Leo amenikumbukaaaaaa*4🎶🎵
Tulilia sana, tuliitwa maskini, ombaomba, lakini Leo......!!🎵
Ameteeenda, ameteeenda*4
Mbooona kama naotaaaa*4🎶🎵
Tuungane na mvua inayonyesha Dar kumshukuru Mungu juu ya ushindi wa TUNDU Lissu.
Ubarikiwe TUNDU Lissu,
MUNGU ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏