Kwa hili limetokea Leo, Tuungane na Bella Kombo kuimba " Mbona kama naota"🎼🎵🎶

Kwa hili limetokea Leo, Tuungane na Bella Kombo kuimba " Mbona kama naota"🎼🎵🎶

Naomba niulize, Nini kitabadilika?
Kabla ya kujibu swali lako,

Naomba utuwekee wimbo huo wa Bela Kombo tuburudike NAFSI zetu Kisha nikujibu🙏
 
Mungu anampenda sana Lisu ndiyo maana mvua inanuesha
 
Mwenyezi-Mungu ambariki Simba Tundu Antipas Lissu katika uongozi wake amvuvie hekima na maarifa makubwa hatimaye apate mafanikio katika kutimiza malengo ya chadema na taifa kwa ujumla.
Viva Simba Tundu Antipas Lissu viva.
Viva Chadema viva.
Viva Tanganyika viva.
Viva Tanzania viva.
 
Lisu siku akiacha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli na Mwl Nyerere atakuwa binaadamu.
Na afurahie na kushangilia nakutoa sadaka iliyo safi kwakua hata huyo mr ston alitaman Tundulisu afe kwahyo hakuna thambi hapo hata daud alipomuuwa goliat hakua na thambi
 
Lisu siku akiacha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli na Mwl Nyerere atakuwa binaadamu.
Kwa kuwa ameyakubali mema na uzalendo wa Magufuli,

Hiyo yatosha,

Asemehewe,

Maana Magu alikuwa mwanadamu mwenye pande mbili, mazuri na mabaya pia.
 
Back
Top Bottom