Nchimbi atakuwa makamu wa RaisNaomba niulize, Nini kitabadilika?
Hili lilishatokea.Nchimbi atakuwa makamu wa Rais
Dunia haielewekiDuh aiseee
Mlipuko ni kwa kilichotokea, siyo kitakachotokeaHili lilishatokea.
Huu mlipuko wa furaha, ni kwa sababu nini kinategemewa kutokea?
Lisu siku akiacha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli na Mwl Nyerere atakuwa binaadamu.
Tunategemea serikali kuwa active na kusikiliza wananchi wake sana, kwasababu watu wakusema bila kuogopa kutekwa wameshika uongozi wa juuHili lilishatokea.
Huu mlipuko wa furaha, ni kwa sababu nini kinategemewa kutokea?
tulia subiri mabadiliko ni mchakato tuombe uhaiNaomba niulize, Nini kitabadilika?
Nchi imechangamkaHellow Tanganyika,
Katika wimbo huu Kuna mashairi yasemayo,
"Alipoturejesha tulikuwa waota ndoto, hatukuamini macho yetu*2๐ถ
"Sio free mason, ni Mungu anetenda"*3๐ถ
Sio mazingaombwe, ni Yesu amefanya"*5๐ถ
Ameteeeenda Bwanaaa anetendaaaaaa*6๐ถ
Tulilia sana, tuliitwa maskini, ombaomba, lakini Leo......!!๐ต
Tuungane na mvua inayonyesha Dar kumshukuru Mungu juu ya ushindi wa TUNDU Lissu.
MUNGU ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA ๐น๐ฟ
Karibuni๐
lini utaenda kwenye makaburi yao kuwaombea marehemuLisu siku akiacha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli na Mwl Nyerere atakuwa binaadamu.
TAL kushinda watu wengi tulitamani sasa naona kama furaha imekuwa kubwa mno isije ikawa kuna muujiza fulani hivi unategemewa nisioujua ndo maana na mimi nauliza.Mlipuko ni kwa kilichotokea, siyo kitakachotokea
Siasa ndo zitakuwa active, Labda kama akisema tokeni barabarani iwe hivyo kweli, ila kama suala ni mtu mmoja TAL kuongea tu, hapo ni siasa ndo zitachangamka.Tunategemea serikali kuwa active na kusikiliza wananchi wake sana, kwasababu watu wakusema bila kuogopa kutekwa wameshika uongozi wa juu
Sawatulia subiri mabadiliko ni mchakato tuombe uhai
Pole kwa mateso unayopitiaLisu siku akiacha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli na Mwl Nyerere atakuwa binaadamu.
Yeye mwenyewe ni muhanga wa kupigwa risasi nyingi, kwahiyo akisema jambo hakuna mwenye mashaka naloSiasa ndo zitakuwa active, Labda kama akisema tokeni barabarani iwe hivyo kweli, ila kama suala ni mtu mmoja TAL kuongea tu, hapo ni siasa ndo zitachangamka.
Sawa boss. Ila mm ninachoona siasa zitachangamka tu hakuna la zaidi.Yeye mwenyewe ni muhanga wa kupigwa risasi nyingi, kwahiyo akisema jambo hakuna mwenye mashaka nalo
La zaidi ni pamoja na wabunge wa upinzani kuongeza bungeniSawa boss. Ila mm ninachoona siasa zitachangamka tu hakuna la zaidi.