Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
 

Attachments

  • a80b55ab-5d57-488b-8f8f-338755265c29.jpeg
    a80b55ab-5d57-488b-8f8f-338755265c29.jpeg
    68.8 KB · Views: 2
ta kama wamekwazwa na muda wa goli, wangetafuta namna nyingine ya kuonesha hisia zao ila sio kungoa viti na kupiga refa huku wanaangaliwa.

Picha zinajieleza kwa kile kilichofanyika uwanjani. Toka tukiwa wadogo tumekuwa tukasikia na kuona malalamiko kwa kile kifanywacho na waarabu dhidi ya Timu zetu.
Refa ametokea nchi gani wasije wakamfuata nchini kwake maana akili zao wanazijua wenyewe
 
Video tumeziona na waliokuwa wanang'oa viti tumewaona.
 
Wapongezwe na watafutiwe uwanja usio wa walipa Kodi, Mechi za shirikisho zisi liingize Taifa kwenye hasara na makosa ya kukosa ustaarabu michezoni.
Ao Simba ni Wazoefu wa mambo dhalili kule South tuliona walichofanya, apa kwetu wameshakua Wazoefu wa kuharibu miundo mbinu.
Timu nyingi zilisha ilalamikia Simba kule CAF kwa mambo ya hovyo.
 
Ni kweli mlihusika kung'oa viti kama baadhi ya wajumbe walivyochangia mawazo yao hapo juu? Maana hamna historia nzuri na huo uwanja wa Taifa. Mlishawahi kufanya hilo tukio hapo kabla. Binafsi sikuangalia hiyo mechi yenu!
Subiri matamko kikubwa sisi tushachukua point...tunaendelea na shughuli zetu mr Tate Mkuu
 
Wapongezwe na watafutiwe uwanja usio wa walipa Kodi, Mechi za shirikisho zisi liingize Taifa kwenye hasara na makosa ya kukosa ustaarabu michezoni.
Ao Simba ni Wazoefu wa mambo dhalili kule South tuliona walichofanya, apa kwetu wameshakua Wazoefu wa kuharibu miundo mbinu.
Timu nyingi zilisha ilalamikia Simba kule CAF kwa mambo ya hovyo.
Mtasubiri sana
 
Wote tumeangalia mechi hii. Baada ya kufungwa goli la 2 mashabiki na viongozi wa waarabu wakaanza vurugu.

Inawezekana ni kweli wamekasirishwa na muda wa goli kufungwa ila kitendo cha kungoa viti na kuanza kufanya vurugu hakikubaliwi na mtu yoyote na kwa namna yoyote ile.

Binafsi nawapongeza mashabiki wa Simba pamoja na walinzi wa uwanja kwa kuwatuliza hao waarabu waliokuwa wanafanya vurugu.

Kongole kwenu wana ubaya ubwela. Haiwezekani mwarabu atoke Tunisia na kuja kungoa viti uwanja wetu alafu tuwachekee.

Hata kama wamekwazwa na muda wa goli, wangetafuta namna nyingine ya kuonesha hisia zao ila sio kungoa viti na kupiga refa huku wanaangaliwa.

Picha zinajieleza kwa kile kilichofanyika uwanjani. Toka tukiwa wadogo tumekuwa tukasikia na kuona malalamiko kwa kile kifanywacho na waarabu dhidi ya Timu zetu.

Leo wamefundishwa na kushikishwa heshima. Watambe kwao na sio kwetu.
View attachment 3177497
View attachment 3177523
Safi sana siku nyingine wakija watakuwa na adabu
 
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Kasome LAW OF GAME sheria namba 7
Bila umeanza jana kuangalia mpira
 
Back
Top Bottom