Kwa hili pira Gamondi, hakuna shaka kwa Yanga kubeba ndoo ya CAF CL msimu huu

Kwa hili pira Gamondi, hakuna shaka kwa Yanga kubeba ndoo ya CAF CL msimu huu

Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.

Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.

PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua
Duh! Aiseee....
Hivi akili mnapelekaga wapi nyie¿¡....
 
Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.

Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.

PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua
Usije pia kuwa wa kwanza kumzomea AKISHATOLEWA
 
JINGA LAO.
Mwanangu eee, acha utani. Uliona jinsi kipa wa JKT alivyoteseka juzi.
Taarifa fiche ni kwamba siku ile ile aliandika barua ya kiujuzulu....
yaaani kaamua ukipa basi, bora akawe bodaboda
 
Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.

Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.

PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua
🤣
 
Back
Top Bottom