Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Hahahahh ila yanga wana mbwembwe daah!!Kwa kuzifunga JKT, Assas, na KMC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahh ila yanga wana mbwembwe daah!!Kwa kuzifunga JKT, Assas, na KMC?
Duh! Aiseee....Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.
Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.
PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua
Usije pia kuwa wa kwanza kumzomea AKISHATOLEWAKwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.
Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.
PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua
Mwanangu eee, acha utani. Uliona jinsi kipa wa JKT alivyoteseka juzi.JINGA LAO.
Yanga ya yule mhehe ndiyo ilijaa matahira, lakini ya sasa ni mainjinia tupu. Ni balaaa.WENYE AKILI NI WAWILI TU.
MATAHIRA KIBAO
🤣Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.
Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.
PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua