Kwa hili suala la Kipa wa Simba, Mohamed Dewji ndio kashiriki kututapeli hela za Usajili za CAF

Mo ndio kamleta yule CEO wa kike ndio kamleta huyo kaangalia ngozi still ana dharau sana yaani utakuta huyo kipa analipwa pesa kibao ...Mtakuja kumuelewa Manara kukataq kulipwa laki 7 huko kidemu kile hakina jipya kinalipwa mamillion ...
Babra hayupo Simba toka mda tyuuh, sasa lawama mnampajee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na ni Rais wao wa heshima. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…