Kukuzidi wewe mkuu? Tunataka wapiga kelele zisizo na faida kama wewe waziache timu zetu. Watu wanatoa fedha zao kuwekeza halafu wajinga wajinga kama wewe mnaleta kelele. Kama vipi anzisheni timu zenu msajili makocha na wachezaji mnaowataka. Ndio maana mliitwa wala mihogo na kiongozi fulani hivi. Alipatia sana.