Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babra hayupo Simba toka mda tyuuh, sasa lawama mnampajee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mo ndio kamleta yule CEO wa kike ndio kamleta huyo kaangalia ngozi still ana dharau sana yaani utakuta huyo kipa analipwa pesa kibao ...Mtakuja kumuelewa Manara kukataq kulipwa laki 7 huko kidemu kile hakina jipya kinalipwa mamillion ...
Na ni Rais wao wa heshima. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kukuzidi wewe mkuu? Tunataka wapiga kelele zisizo na faida kama wewe waziache timu zetu. Watu wanatoa fedha zao kuwekeza halafu wajinga wajinga kama wewe mnaleta kelele. Kama vipi anzisheni timu zenu msajili makocha na wachezaji mnaowataka. Ndio maana mliitwa wala mihogo na kiongozi fulani hivi. Alipatia sana.
Ela za usajili kutoka Caf zimepote na wajajaAcha mihemko wewe. Umetapeliwa nini sasa, una hisa yoyote simba zaidi ya kelele za ushabiki maandazi?
Zikatumika kusajili Mwarabu moja bilioni nyingiCAF walitoa hela za usajili au za maandalizi?