MO yupo sahihi kipindi cha nyuma alikua akitoa fedha za usajili mnaletea wakina Duncun Nyoni na wengine wa jamii ya kina Sawadogo mna mpiga ela.
Inawezekana kaamua kumleta uyo mwarabu kwa kutumia fedha mlizopewa na Caf kwa maandalizi ya super league ili na yeye afukie mashimo mliyo mpiga kipindi cha nyuma.
Huwezi mfanyabiashara mkubwa ukaicha fedha nyingi kamaiyo kwa mkupuo inapita mbeleyako kifala.
Yeye kapiga mshindo mmoja tu nyie mnalia wakati mshatafuna sana fedha zake.
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app