Elections 2010 Kwa hili surely chadema wamepotoka au wamepotea njia

Elections 2010 Kwa hili surely chadema wamepotoka au wamepotea njia

Hivi wewe ni bingwa wa hoja au bingwa wa umbumbumbu? Maana unachokisema wala hakieleweki.Yaelekea upeo wa elimu yako ni nusu ya darasa la pili kama si elimu ya ngumbalu. Jamii forum ni mahala pa kuelimishana na si pa kupiga porojo. Nakushauri utafute blog nyingine inayoruhusu watu kupoteza muda badala ya kwenda na wakati as Political slogan has nothing to do with reality.CCM NI CHAMA NAMBARI ONE KWA VURUGU HAPO BONGO. Mmeuwa watu kule Zanzibar mwaka 1995 ,2000, na hata 2005. Je huo si ushahidi tosha wa kuvuruga amani na utulivu? Waache wana chadema wapete usiwaonee gere bure.
 
An idle mind is the devil's workshop! Unaleta hoja za kukunja ngumi? Kwa hiyo wewe hutachagua CHADEMA kwa sababu hiyo tu? Fanya kazi la sivyo shetani atakuvuruga. NGUMI may symbolize power, and to be specific - PEOPLE'S POWER!
 
Hakuna cha upupu wala nini hapa. Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga...

Hayo ni mawazo yako. Which is the right lane then???
Toa hoja sio kejeli...

Wale wale........... Mkuu mbona website ziko nyingi unakoweza kupeleka hizi njegera zako... naomba nikupe baadhi ambazo zinaweza kukufaa... gonga hapa chini:
www.ccmtz.org; www.newhabari.com; jakayakikwete2010.blogspot.com;

Like birds fly together, huku utakuna na wenzio mtaelewana vizuri
 
Huyu naye katokea wapi tena? Kwani amewahi kupigwa ngumi na mwana-Chadema? Hizi porojo za CCM bana!
 
Hizo hoja zako sijui unazitoa ukiwa una naniiiii,...mods mnisamehe simalizii
 
Hawa mamluki wamepewa shilingi ngapi uuza Utanzania wao, Umoja wao?????

Hivi tunaweza kujua huyu jamaa kazaliwa wapi pengine ndiyo kwanza anajua siasa ni nini!!!

CCM Unakumbuka enzi za "Kidumu Chama Cha Mapinduzi?"

Si nyie-nyie mulikuwa munakunja ngumi hadi munajamba?
Pia walikuwa wakisema huku mikono iko juu CCM JUU, JUU ZAIDI?????

Hatudanganyiki, ushindi uko pale pale!!!

Ila ole wako siku watoto wako wakikuuliza hivi baba/mama huu umaskini katuletea nani???? sijui jibu lako litakuwa lipi!!!

Chadema mwendo mdundo....
 
Back
Top Bottom