Kikokotoo ni utapeli namba moja unaofanywa na serikaliUmeme ndiyo kikwazo kikubwa kwa watanzania.
Umeme ni hisani ya Tenesiko mkuuYani nafungua thread na umeme unakatika
Kilio anakisikia sana lkn uwezo wake wa kutoa msaada umeishia hapo!Umeme umekuwa shida kuu hapa nchini, kila kona ni vilio kutokana na uhaba wa umeme.
Mama hasikii kilio cha wanae, tumekuwa watoto yatima ingawa tunaye mzazi.
Nani atakuja kusikia kilio cha watanzania kutokana na uhaba wa umeme?
Usingefungua thread ungekuwa salama zaidi πππYani nafungua thread na umeme unakatika
Kaambiwa umeme upo ni kelele za wapinzani tuuUmeme umekuwa shida kuu hapa nchini, kila kona ni vilio kutokana na uhaba wa umeme.
Mama hasikii kilio cha wanae, tumekuwa watoto yatima ingawa tunaye mzazi.
Nani atakuja kusikia kilio cha watanzania kutokana na uhaba wa umeme?
Kaambiwa umeme upo ni kelele za wapinzani tuuUmeme umekuwa shida kuu hapa nchini, kila kona ni vilio kutokana na uhaba wa umeme.
Mama hasikii kilio cha wanae, tumekuwa watoto yatima ingawa tunaye mzazi.
Nani atakuja kusikia kilio cha watanzania kutokana na uhaba wa umeme?
..bila kusahau ukosefu wa SUKARI,maji,usafiri mbovu wa DART,tren ya G/mboto na Kivuko cha Ferri...
Kazi kwelikweli!!
..bila kusahau ukosefu wa SUKARI,maji,usafiri mbovu wa DART,tren ya G/mboto na Kivuko cha Ferri...
Kazi kwelikweli!!
Hatari sana mkuu nchini inaanguka hii maana umeme hakuna, dollar hakuna Sasa sijui kwanini anataka kugombea mwakani maana kashindwa kudeliver kabisaUsingefungua thread ungekuwa salama zaidi πππ