Kwa hili tumwogope Mungu, tuvue Unafiki. Tumwombe Msamaha Magufuli

Kwa hili tumwogope Mungu, tuvue Unafiki. Tumwombe Msamaha Magufuli

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Suala la Corona. Mbona hatusikii Takwimu? Waliosema kuchanjwa iwe lazima kwa wote wapo wapi? Suala la kuvaa barakoa? Hata wapinzani hatuvai.

Kipindi kile wakati yupo tulikuwa tumavaa ku prove him wrong. Now hayupo hatuvai. Chanjo zina expire bila watumiaji. Mikusanyiko ipo bila barakoa. Maisha yapo kama alivyotaka. Ajenda ya Covid 19 imesha.

Wamebaki wabunge tu wa Covid 19. Tumwogope Mungu ndugu zanguni. Pamoja na kuwa kwa sisi unafiki ni kama ngozi.... Katika hili tumwogope Mungu. Tuombe msamaha. Magufuli was right 100 asilimia.

Wapo waliokufa kwa Corona kama ambavyo wapo wanaokufa kwa Malaria, Ukimwi, Kifua Kikuu n.k.

But approach yake ilikuwa sahihi kuwa maisha yaendelee. Na hata hatukuona maiti zimetapakaa mitaani kama ambavyo ilitabiriwa na kutakiwa.

Tumeenda pata mikopo kutokana na Corona ambayo imetumika kwenye ujenzi na malupulupu kwa wengine.
 
Unajua kama ipo omicron🤔.Bado ipo safarini haija tua nyumbani na yenyewe ni awamu 4.
 
Suala la Corona. Mbona hatusikii Takwimu? Waliosema kuchanjwa iwe lazima kwa wote wapo wapi? Suala la kuvaa barakoa? Hata wapinzani hatuvai.

Kipindi kile wakati yupo tulikuwa tumavaa ku prove him wrong. Now hayupo hatuvai. Chanjo zina expire bila watumiaji. Mikusanyiko ipo bila barakoa. Maisha yapo kama alivyotaka. Ajenda ya Covid 19 imesha.

Wamebaki wabunge tu wa Covid 19. Tumwogope Mungu ndugu zanguni. Pamoja na kuwa kwa sisi unafiki ni kama ngozi.... Katika hili tumwogope Mungu. Tuombe msamaha. Magufuli was right 100 asilimia.

Wapo waliokufa kwa Corona kama ambavyo wapo wanaokufa kwa Malaria, Ukimwi, Kifua Kikuu n.k.

But approach yake ilikuwa sahihi kuwa maisha yaendelee. Na hata hatukuona maiti zimetapakaa mitaani kama ambavyo ilitabiriwa na kutakiwa.

Tumeenda pata mikopo kutokana na Corona ambayo imetumika kwenye ujenzi na malupulupu kwa wengine.

Takwimu za nini wakati tulishaambiwa na kujihakikishia covid ni ugonjwa wenye mipango mingi ya kitapeli ndani yake?

Hii ndio ile "Aliyeuziwa cheni kauziwa cheni bandia na aliyetoa pesa katoa pesa bandia"
 
Suala la Corona. Mbona hatusikii Takwimu? Waliosema kuchanjwa iwe lazima kwa wote wapo wapi? Suala la kuvaa barakoa? Hata wapinzani hatuvai.

Kipindi kile wakati yupo tulikuwa tumavaa ku prove him wrong. Now hayupo hatuvai. Chanjo zina expire bila watumiaji. Mikusanyiko ipo bila barakoa. Maisha yapo kama alivyotaka. Ajenda ya Covid 19 imesha.

Wamebaki wabunge tu wa Covid 19. Tumwogope Mungu ndugu zanguni. Pamoja na kuwa kwa sisi unafiki ni kama ngozi.... Katika hili tumwogope Mungu. Tuombe msamaha. Magufuli was right 100 asilimia.

Wapo waliokufa kwa Corona kama ambavyo wapo wanaokufa kwa Malaria, Ukimwi, Kifua Kikuu n.k.

But approach yake ilikuwa sahihi kuwa maisha yaendelee. Na hata hatukuona maiti zimetapakaa mitaani kama ambavyo ilitabiriwa na kutakiwa.

Tumeenda pata mikopo kutokana na Corona ambayo imetumika kwenye ujenzi na malupulupu kwa wengine.
Omicron is making them credible on economic repair, but what economic repair is the building of schools classes? Hakuna nchi ya kipumbavu na yenye watu wakipumbavu hasa serikalini kama Tanzania, no room for critical thinking, debates or rather arguements on issues si cabinet, si bunge, si taasis, etc wote mazuzu, ukiwa mtu wa logic na reasoning unaonekana mdwanzi sasa tunaenda shule ili iweje?why do we write academic papers, books, why do we attend conferences? Kubishana kwa hoja ni dhambi na kila aliejuu au kiongozi anajiona ndio mwenye akili siku zote, hata akiamua binafsi au na kikundi chake cha mandezi ama wa mapambio anawakilisha kwa kusema tumeamua au tuliamua, fake incussivity inatumika.
 
Takwimu za nini wakati tulishaambiwa na kujihakikishia covid ni ugonjwa wenye mipango mingi ya kitapeli ndani yake?

Hii ndio ile "Aliyeuziwa cheni kauziwa cheni bandia na aliyetoa pesa katoa pesa bandia"
Watu hawataki takwimu siku hizi.
 
Suala la Corona. Mbona hatusikii Takwimu? Waliosema kuchanjwa iwe lazima kwa wote wapo wapi? Suala la kuvaa barakoa? Hata wapinzani hatuvai.

Kipindi kile wakati yupo tulikuwa tumavaa ku prove him wrong. Now hayupo hatuvai. Chanjo zina expire bila watumiaji. Mikusanyiko ipo bila barakoa. Maisha yapo kama alivyotaka. Ajenda ya Covid 19 imesha.

Wamebaki wabunge tu wa Covid 19. Tumwogope Mungu ndugu zanguni. Pamoja na kuwa kwa sisi unafiki ni kama ngozi.... Katika hili tumwogope Mungu. Tuombe msamaha. Magufuli was right 100 asilimia.

Wapo waliokufa kwa Corona kama ambavyo wapo wanaokufa kwa Malaria, Ukimwi, Kifua Kikuu n.k.

But approach yake ilikuwa sahihi kuwa maisha yaendelee. Na hata hatukuona maiti zimetapakaa mitaani kama ambavyo ilitabiriwa na kutakiwa.

Tumeenda pata mikopo kutokana na Corona ambayo imetumika kwenye ujenzi na malupulupu kwa wengine.
Mawazo mkanganyiko yaliyopandwa na hayati Magufuri.
 
Hata Mbowe havai barakoa
Lisu amekuja hapa amefanya kampeni miezi 3 na hakuvaa barakoa hata siku moja.
Kinachowatesa Chadema ni unyumbu tu na tamaa ya madaraka

Kwaiyo Tunakubariana Kuwa Corona Haipo Si Ndio
 
Suala la Corona. Mbona hatusikii Takwimu? Waliosema kuchanjwa iwe lazima kwa wote wapo wapi? Suala la kuvaa barakoa? Hata wapinzani hatuvai.

Kipindi kile wakati yupo tulikuwa tumavaa ku prove him wrong. Now hayupo hatuvai. Chanjo zina expire bila watumiaji. Mikusanyiko ipo bila barakoa. Maisha yapo kama alivyotaka. Ajenda ya Covid 19 imesha.

Wamebaki wabunge tu wa Covid 19. Tumwogope Mungu ndugu zanguni. Pamoja na kuwa kwa sisi unafiki ni kama ngozi.... Katika hili tumwogope Mungu. Tuombe msamaha. Magufuli was right 100 asilimia.

Wapo waliokufa kwa Corona kama ambavyo wapo wanaokufa kwa Malaria, Ukimwi, Kifua Kikuu n.k.

But approach yake ilikuwa sahihi kuwa maisha yaendelee. Na hata hatukuona maiti zimetapakaa mitaani kama ambavyo ilitabiriwa na kutakiwa.

Tumeenda pata mikopo kutokana na Corona ambayo imetumika kwenye ujenzi na malupulupu kwa wengine.
Hela za uchaguzi 2025,
 
Hata Mbowe havai barakoa
Lisu amekuja hapa amefanya kampeni miezi 3 na hakuvaa barakoa hata siku moja.
Kinachowatesa Chadema ni unyumbu tu na tamaa ya madaraka
Kwani Chadema ndiyo wanasababisha corona? Ujinga mwingine bana?
 
Fafanua zaidi Sasa..ukiishia hapo husaidii kitu
Kwanza kabisa inahitaji reforms kwenye sekta ya elimu.Serikali kwa miaka mingi imekua ikijikita zaidi kwenye uongezaji idadi ya watoto wanao andikishwa au wanaanza darasa la Kwanza,form one n.k bila kuangalia ubora wa elimu wanayo enda kuipata inakidhi viwango vya kumjenga mtu kuweza kujiajiri baada ya kuhitimu sababu serikali haiwezi kuwaajiri wote.

Lazima elimu inayotolewa iwajengee ufahamu na uelewa mkubwa watanzania kuliko hivi kukaririshana Kama hivi tunavyofanya saivi,iwajengee ujasiri wa kuingia kwenye soko la ajira kokote duniani.Mindset za watanzania ziweze kufunguka lazima elimu iwe hivyo.Ukiwa dar ni ngumu kuelewa hiki nacho kimaanisha lakini ukiingia mikoani ndo utajua kwanini elimu yetu inahitaji reforms.

Siasa tumeifanya kua sehemu ya maisha yetu. Hapa Napo tumeteleza lazima tukubali kurudi nyuma tutenganishe siasa na maswala ya msingi ya kitaalamu.sisi kwetu Kila kitu tumekifanya kua siasa Hilo ni tatzo kubwa Sana linalo ikabili nchi yetu na hii point ilitakiwa kabisa iwe ya kwanza.sekta ya elimu tumeifanya kua ya kisiasa,sekta ya afya tumeifanya kua ya kisiasa,sekta ya kilimo,wizara ya nishati imekua ya kisiasa,sekta ya michezo ambayo ingeajiri watanzania wengi na kutoa mchango mkubwa wa maendeleo kwa taifa Kama zilivyo nchi zilizoendelea nayo imefanywa siasa.
Ukusanyaji Kodi na vipaumbele vya taifa vimekua vya kisiasa zaidi kuliko uhalisia,Kila baada ya miaka mitano tunakuja na vipaumbele vipya yote hiyo ni ili eti kujipatia kura Hilo ni tatzo kubwa sana linaloikabili serikali ya CCM. Yapo mengi Sana ya kuandika kwa Leo ngoja niishie hapa
 
Back
Top Bottom