Kwa hili wanawake mnatupatia kweli.

Hahahahahaha
Ila wewe si my brother??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika vitu sijuagi ni kudanganya aisee mimi huwa nasema umri wangu kamili atayenipenda na uajuza wangu asante atakayekmbia basi. Lakini hata ninyi mnapenda kudanganywa maana mtu akikwambia ana miaka 35 unamnyanyapaa eti mzee ila unaenda kwa mtu anakwambia ana miaka 28 huku in reality ana miaka 40 na wewe unaona kabisa umedanganywa ila unakenua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya tuambie umri wako baby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…