Kwa hili wapinzani wawe na shukrani sana, awamu ya 5 isingewezekana

Kwa hili wapinzani wawe na shukrani sana, awamu ya 5 isingewezekana

Hakuna undugu kati ya fisadi/mwizi na mwananchi wa kawaida

Huo udugu ungekuepo mchele tungenunua 1000, sabuni 1500 kama enzi za kiboko yenu.
Mwizi alikuwa yule muhamiaji wa Kihutu, Mayanga constructions ilikuwa ni kwa ajili ya wizi, pesa za plea bargain ulikuwa ni wizi, ujambazi wa kupora maduka ya kubadili fedha ulikuwa ni wizi.
Jambazi lilikuwa na wivu sana kwa private sector, lilidhani linaweza likaua private sector huku uchumi ukiendelea kukua. Sasa hivi mambo ni bambam labda kwa wale wavivu katika utafutaji ndiyo wanalialia.
 
Mwizi alikuwa yule muhamiaji wa Kihutu, Mayanga constructions ilikuwa ni kwa ajili ya wizi, pesa za plea bargain ulikuwa ni wizi, ujambazi wa kupora maduka ya kubadili fedha ulikuwa ni wizi.
Jambazi lilikuwa na wivu sana kwa private sector, lilidhani linaweza likaua private sector huku uchumi ukiendelea kukua. Sasa hivi mambo ni bambam labda kwa wale wavivu katika utafutaji ndiyo wanalialia.
Wajinga wengi wana chuki binafsi na magufuri japo hawana vithibitisho vya wanachoongea.
 
Back
Top Bottom