Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

Ndiyo waamke sasa waache kupigwa kizembe
 
Yaani mpaka watu wafunguke akili ndio wataelewa.
Nabii anakwambia mchangie, yeye hataki kupaka mafuta apate hizo pesa
 
Hahahahahahah
Anunue mabenzi, ajenge mighorofa, anunue private jet then afungue kanisa hapo ewaaah.
Sio aanze kufungua kanisa kibarazani kwake , avute muumini mmoja mmoja baadaye awe na ukwasi aanze kuwatukana waumini.
Shenzi
Alafu unakuta ww unaenda kwa mganga unaonekana mshamba zaidi hahha , duh haya maisha bwana ni wewe mwenyewe
 
Sadaka yako tangu uanze kutoa ingetosha magari mangapi?
 
huyo ni pasta wetu kiongozi. unasemaje?unataka huduma au?
 
Wanaotoa hizo sadaka wakiona kiongozi wào kanunua gari kali la mamilioni wanashangilia maombi yao yamejibiwa.
 

If that is the case mbona wanaoongoza kulalamika kwamba mifumo ya elimu, uongozi nk inawaminya ni waislam? Hata sasa matajiri wakubwa wote ni waislam from Mo, GSM, Azam nk na viongozi wote wakubwa ni wao ila sijasikia hao wakristo wakilalamika wakati waislam wengi bado wanalalamika kuonewa na mfumo.
 
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…