Hata kama nilitoa 100 imeoonganikana na mia nyingine za wenzangu hadi imefika milioni 400Aliyekwambia magari yananunuliwa kwa sadaka ya mtu mmoja nani?
Nabii akiona waumini hawawezi kumchangia anaachana na hiyo biashara.
Mkuu naomba uingie pmKwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
Means Muda wote yupo busy?anapataje muda wakuomba namba!!!
Kwanini burden of proof unampa yeye na sio wewe u prove kuwa hayupo? Its that simple.Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
Kwa sababu yeye ndiye kamtaja Mungu, mimi sijamtaja.Kwanini burden of proof unampa yeye na sio wewe u prove kuwa hayupo? Its that simple.
Sio kweli, yeye anaamini hivyo ni kazi ya wewe unayepinga kuprove. Ni sawa na kusema eti serikali thibitisheni kwamba Tanzania ni nchi au Ikulu ipo!!? Wakati wao wanaiona ipo!! Nani hapo atakua na burden of proof?Kwa sababu yeye ndiye kamtaja Mungu, mimi sijamtaja.
Anayeanzisha dai kwamba kuna Mungu ndiye mwenye burden of proof.kuthibitisha Mungu yupo kweli.
HahahahaSio kweli, yeye anaamini hivyo ni kazi ya wewe unayepinga kuprove. Ni sawa na kusema eti serikali thibitisheni kwamba Tanzania ni nchi au Ikulu ipo!!? Wakati wao wanaiona ipo!! Nani hapo atakua na burden of proof?
Tax free income.. Such a brave business. 😂😂😂And they are not taxed , yaaani mkuu, we acha tu
Huyu jamaa anajikuta intelligent sana wakati huwa anajifichia kwenye "thibitisha Mungu yupo". Ni sawa mimi nishtaki kuwa Stability ni fisadi alafu nikiulizwa ushahidi niseme mwambie Stability athibitishe yeye sio fisadi!!Hahahaha
Nimemuambia atusaidie hints tatu fupi za kuthibitisha kuwa Mungu ni batili ili sasa labda na sisi tunaoamini tushawishike
Kwa kuanzia Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.Okey ahsante, tusaidie points tatu tu fupi kuthibistisha Mungu ni batili. Karibu
Umekurupuka mkuu..Sijasoma ila acha umasikini na udwanzi dogo. Gari ni nini hapa Duniani?
💯Huyo jamaa na wengine aina yake huwa nawakubali sana. Wanatumia vyema fursa za ujinga wa wajinga kujipatia kipato. Ni majiniaz mno.
Wajinga wanaokwenda kwa hao watu hakuna kitu watapata eti kwa sababu waliombewa. Mimi siombi, siombewi, sisali, simshukuru huyo mnayemwita Mungu na wala simuamini lakini sina stress kuhusu kipato. Wajinga wafanye kazi kwa bidii inaweza kusaidia. Waachane na upuuzi wa kuombewa.
Hapana,Sio kweli, yeye anaamini hivyo ni kazi ya wewe unayepinga kuprove. Ni sawa na kusema eti serikali thibitisheni kwamba Tanzania ni nchi au Ikulu ipo!!? Wakati wao wanaiona ipo!! Nani hapo atakua na burden of proof?
Hiyo ndiyo hatari tena ndiyo inadhihilisha ninacho sema wanacho kifanya waislamu ni sawa na wanachokifanya wazanzibar dhidi ya watanganyika ni kulalamika sana kuwa wanapunjwa hata kama wao ndiyo wanufaika wakuu ....unajua nini maana yake ?hiyo ni trick ya hali ya juu sana kufikia wanacho kitaka ...ndiyo ichi nilicho kisema....tumia akiliIf that is the case mbona wanaoongoza kulalamika kwamba mifumo ya elimu, uongozi nk inawaminya ni waislam? Hata sasa matajiri wakubwa wote ni waislam from Mo, GSM, Azam nk na viongozi wote wakubwa ni wao ila sijasikia hao wakristo wakilalamika wakati waislam wengi bado wanalalamika kuonewa na mfumo.
Uta prove vipi kitu ambacho hakipo?Kwanini burden of proof unampa yeye na sio wewe u prove kuwa hayupo? Its that simple.