Kulalamika ni trick tu...watalalamika mpaka watakapo pata wanacho kitaka kisha ndiyo watajifunua wazi kama alivyo jifunua kiboko ya wachawiKumbe? Watalalamika hadi lini?
Upumbavu wa wakristo na wasio waislam ni upi? Inabidi wafanye nini?
Kutukana kwako ndio kunazidi kuonesha umaskini wako. Nimekuuliza gari ndio nini humu duniani?Sio lazima usome mkndru wewe
Kwani wanapowaambia "pokea gari" wanamaanishaje
Ishu wewe na ndugu zako endeleeni kutapeli maduanzi.
Hii mashine hata mkurugenzi wa hslmashauri sijawahi muona mmoja wao kanunua.
Kulalamika ni trick tu...watalalamika mpaka watakapo pata wanacho kitaka kisha ndiyo watajifunua wazi kama alivyo jifunua kiboko ya wachawi
Mwanamuziki Don Williams katika wimbo wake wa I Believe in You kuna mstari anasema: Well, I don't believe that heaven waits for only those who congregate......Kwahiyo wakristo nao waache kwenda makanisani au wafanyaje? Maana wakienda mnasema wanapigwa.
Chakula cha Mungu ni sala, kama unatoa hela juwa unatapeliwa.
Tukizama kiundani zaidi, inawezekana ata tunachokiamini; hakipoMkiacha sala Mungu atakufa njaa?
HahahahahahhHii mashine hata mkurugenzi wa hslmashauri sijawahi muona mmoja wao kanunua.
Tukiacha habari ya maombezi washkaji wapo smart. Unajua kumshawishi binadamu akupe 1/10 ya kipato chake sio rahisi. Wasiendekeze vitu vya anasa wanatikiwa waFanye investment, maana wahubiri nyota zao hhng'aas na kufifia na anaibuka mwingine.
Tujifunze jinsi ya kuchukua hela bila nguvu.
Tumia akili ....siku 6 fanya kazi moja tu ndiyo mambo ya mungu au mnadhani mungu wenu ni mpumbavu kuagiza hivyoKwahiyo wakristo nao waache kwenda makanisani au wafanyaje? Maana wakienda mnasema wanapigwa.
Wacrist tumelala mazima linapokuja suala la Imani yetu.View attachment 3173038
Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.
Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika
Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
Ila haka ka investment ka kanisa kanalipa sana..naona watanzania ni wahanga wa mapepo hivyo ukipata watu wako 100 tuu umetoboa