Kwa hiyo JPM alijenga reli ya Dar-Moro kwa trilioni 2.7, ili ibebe abiria 600 ambao walikuwa na mbadala wa kupanda Abood na treni ya kawaida?

Unamjadili mtu ambaye hashikiki japo kalala milele!!

Hao 600 Wana thamani kubwa kuliko Mbwa mmoja anayelipwa Januari kumtukana viongozi
Mkuu umbwa siku hizi wanaongea???!
 
Mkuu yetu macho, Mwendokasi Doom loading...........
 
📝✍️👍👌👊👏🤝🙏🎁🛡️
 
Mkuu uislamu umeingiaje na unahusikaje kwenye hii hoja, fafanua vizuri.

Uislamu unahusikaje kwenye kuua mabasi ya mwendekasi???

Tueleweshe Mkuu!!!
 
Unaweza tupia hapa hesabu je kwa mapata ya 5m ukizingatia hiyo bado si faida, itatuchukua miaka mingapi kurudisha 2.7 tril kulipa madeni na kupata mapato ya kuendesha serikarli
Mkuu ukizingatia ukweli kwamba kwa tabia na hulka zetu za usimamizi mbovu wa rasilimali na taasisi zetu, uwezekano wa huu mradi kulipa ni ndoto ya Abunuasi kama sio Alinacha!!!
 
Wewe ni pumbavu. Take it that way. Umekuwa ukijitutumua humu against the idea, lkn wewe ni shenzi. What is abood to public service under government support? Utatumika hadi lini?
Mkuu kahoji vizuri, hoja yake ina mashiko. Jibu hoja yake sio kumshambulia na kumtukana mto hoja.
 
Unamjadili mtu ambaye hashikiki japo kalala milele!!

Hao 600 Wana thamani kubwa kuliko mmoja anayelipwa Januari kumtukana viongozi
Mkojo, umeelewa hoja ?
 
Najiuliza tu, trilioni karibu nne! Kasi ya treni ilitafutwa ili mikoani wapeleke nini Dar, ambacho awali kilikuwa kinachelewa kufika?
Watu wa mabas mmeanza kulia mapema sana ndo kwanza safari ya kwanza

Moja rekebisha
Kwa siku inafanya safar 4
600*4=2400
Kama kwa siku itabeba abiria 2400 kwa mwezi ni abiria 72,000*14000 naul =1008,000,000


Matumiz na gharama za uendeshaji mtatoa badaye

Hapo ni moro dar
Sijafika dodoma

Badilisha mtazamo
 
Wewe ni pumbavu. Take it that way. Umekuwa ukijitutumua humu against the idea, lkn wewe ni shenzi. What is abood to public service under government support? Utatumika hadi lini?
Lushindo lwako, mnambiti ebhe
 
Haya ndio matatizo ya utandawazi mkuu.
Kila mtu hata kichaa ana uwezo wa kumiliki simu ya android na kuingia mitandaoni.
Leo umefagia kaburi?
 
Huyo muuza furu na maziwa?
Yule alikuwa mwanaume chuma ya mjerumani....kauli Moja mnaufyata from juu to chini hata kama alikuwa na madhaifu mama mwenyewe alikiri viatu havimtoshi rest in peace Chuma
 
Kuna vitu faida yake huwezi iona leo wala kesho .....

Kama barabara ya morogoro road nadhani ina muda mrefu tangu kujengwa kwake na natumaini kwa kipindi icho kulikua na mtu pengine alikua na wadhifa fulani serikalini .....
Ila alikua na mawazo finyu kama yako mtoa maada.

Ashakum si matusi.
 
Sorry nje ya mada kidogo,

Fun fact: Unajua watu wanao ongoza kuzuia milango ya mwendokasi ni wasomi wenye degree😅
 
Hizo pesa ni mkopo kutoka Uturuki. Alafu kumbuka kuna .
Maintenance cost ya hiyo reli pamoja na treni.

Mleta mada ana hoja nzuri sana. Inawezekana tu hajaiweka vizuri ila anachomaanisha kama target yetu ni kubeba abiria tena kwa speed hii ya treni na bei hizi zilizowekwa huu ni white elephant project ( Mradi ambao hautakuja kuleta faida yeyote zaidi ya hasara kwa nchi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…