Kwa hiyo JPM alijenga reli ya Dar-Moro kwa trilioni 2.7, ili ibebe abiria 600 ambao walikuwa na mbadala wa kupanda Abood na treni ya kawaida?

Kwa hiyo JPM alijenga reli ya Dar-Moro kwa trilioni 2.7, ili ibebe abiria 600 ambao walikuwa na mbadala wa kupanda Abood na treni ya kawaida?

Huo ni mradi kichaa wa watu wenye IQ ndogo. Reli ya kati ni muhimu kuliko SGR kiuchumi. Ilitakiwa ifanyiwe ukarabati na maboresho iweze kubeba mizigo mingi zaidi na hata ingeongezwa mtandao kuweza kufungua nchi zaidi. Reli ya kati inabeba malighafi, mazao ya kilimo, mafuta, finished products na wasafiri. Mizigo ya Congo yote hii tungeweza kuiondoa kwenye maroli yanayoleta foleni na kuharibu barabara kwa kuiwezesha reli ya kati.

SGR inabeba wazurulaji wa sifa kwa muda mfupi, baadae logic ya uwepo wake itakosa. Treni inabeba watu ambao wangepanda mabasi 6 tu.

Reli kibiashara siku zote yake mizigo, sio kubeba wasafiri. Nauli zenyewe za kulialia hizi ndio wanunue viberenge, mataruma, wafanye ukarabati mvua ikinyesha, waibe humo watumishi, walipwe mishahara, walipe ruzuku, walipe deni la kujenga mradi na riba yake.inabeba mizigo pia.
Nadhani SGR inaweza kubeba mizigo pia. Ni suala la mipango tu ya hapo baadaye.
 
Najiuliza tu, trilioni karibu nne! Kasi ya treni ilitafutwa ili mikoani wapeleke nini Dar, ambacho awali kilikuwa kinachelewa kufika?
Kiufupi huu ni uwekezaji wa kupigia picha,next year mtasikia wimbo mzuri zaidi kutoka Kwa CAG ukielezea hasara.

Hakuna namna gharama zitarudi maana hata mzigo wa kusafirisha hakuna .

Unaitwa cosmetic project.Serikali itakapoendelea kupandisha Kodi Ili mlipie kuendesha hiyo Sgr msije kutukana Mwigulu na Samia 😂😂
 
Nadhani SGR inaweza kubeba mizigo pia. Ni suala la mipango tu ya hapo baadaye.
Walioijenga kila siku wanapigia upatu safari za abiria. Ni kama ambavyo reli ya Kaskazini itakuwa inakufa na kuachwa sana, haina mizigo ya kulazimika iwepo reli. Kubeba abiria wengi na mizigo michache kunafanya reli ya Kaskazini ikose umuhimu.
Sasa reli inaenda Arusha kubeba mizigo gani ya maana kule.
 
mkiambiwa waislamu wa tanzagiza ni tatizo mnasema sijui udini ona sasa reasoning yao. sababu kuu za kujengwa kwa reli siyo kusafirisha abiria bali mizigo, hapo ndipo fedha ilipo abiria ni huduma tu na hauwezi kuendesha reli kwa kwa nauli ya abiria.

ndiyo maana kulikuwa na mpango kujenga bandari kavu. Mna low iq sana ndio maana hata mwendokasi mmeua hata hii treni mtaua pia kwa maana hamuelewi how things work …
Acha udini kijana...
Huyo ni Mtanzania na ameleta mada kama Mtanzania na si kama Muislamu.

Tumia akili akili acha kukurupuka....
 
mkiambiwa waislamu wa tanzagiza ni tatizo mnasema sijui udini ona sasa reasoning yao. sababu kuu za kujengwa kwa reli siyo kusafirisha abiria bali mizigo, hapo ndipo fedha ilipo abiria ni huduma tu na hauwezi kuendesha reli kwa kwa nauli ya abiria.

ndiyo maana kulikuwa na mpango kujenga bandari kavu. Mna low iq sana ndio maana hata mwendokasi mmeua hata hii treni mtaua pia kwa maana hamuelewi how things work …
Mkuu sio kwamba wewe ndiyo uko na poor reasoning capacity maana unaingizia suala la Waislamu kwenye uzi ambao hauna hata chembe ya maudhui ya kidini.

Ungemjibu mleta hoja kulingana na alichouliza kuliko kutoka nje kabisa ya mada.
 
Najiuliza tu, trilioni karibu nne! Kasi ya treni ilitafutwa ili mikoani wapeleke nini Dar, ambacho awali kilikuwa kinachelewa kufika?
Magufuli alikuwa siyo kiongozi mzuri hata kidogo. Ila kwenye treni mimi naona alifanya vizuri. Kwani kinachofanya treni iwe na umuhimu kwa nchi nyingi ni kasi tu? Kama ni kasi mbona ndege ndiyo sahihi? Treni ina uwezo wa kusafirisha vitu in bulky na vikiwa na uzito mkubwa, kwa haraka na nafuu zaidi kuliko barabara au anga. Pia in a long run, maintance na cost ni ndogo. Kna vipengele vingi sana, kama usalama, uchafuzi wa mazingira yaani naweza kuandika essay ndefu kabisa kuonyesha kuwa usafiri wa reli ni bora kuliko barabara kwa ujumla
 
Hizo pesa ni mkopo kutoka Uturuki. Alafu kumbuka kuna .
Maintenance cost ya hiyo reli pamoja na treni.

Mleta mada ana hoja nzuri sana. Inawezekana tu hajaiweka vizuri ila anachomaanisha kama target yetu ni kubeba abiria tena kwa speed hii ya treni na bei hizi zilizowekwa huu ni white elephant project ( Mradi ambao hautakuja kuleta faida yeyote zaidi ya hasara kwa nchi)
Kwahiyo trc hawana business continuity plan?
 
Najiuliza tu, trilioni karibu nne! Kasi ya treni ilitafutwa ili mikoani wapeleke nini Dar, ambacho awali kilikuwa kinachelewa kufika?

Hoja tunduizi inayotakiwa wana wa JF tuijadili kwa hoja bila mihemko wala mirengo ya kisiasa.

Nchi za wenzetu utaona pembezoni kuna ma viwanda makubwa kwa vidogo, mashamba makubwa ya nafaka na matunda, ranchi kubwa za mifugo ya kisasa kusafirisha mazao na bidhaa zinazozalishwa kwenda miji kadhaa iliyounganisha na mfumo wa reli pia hata kufafirishwa nje ya mipaka ya nchi zao.

Je kwetu Tanzania reli hii mpya ya SGR inayoendelea kujengwa itapita maeneo yote huku hakuna vitu vya kuvisafirisha siyo tu ndani ya miji yetu iliyo pembezoni bali hata nje ya mipaka. Na je ni viwanda vingapi vimepewa leseni kimkakati kuwa na maeneo pembezoni kabisa ya reli, je mashamba makubwa ya ekari maelfu ya kilimo cha kisasa cha nafaka mangapi yamepewa maeneo pembezoni mwa reli, ranchi kubwa za maelfu ya mifugo tayari yameainishwa kuanzishwa n.k
 
We kilaza kweli sasa hiyo ni tripu moja ambayo imeingiza zaidi ya 5M
Hauwezi kuingiza faida kwa kusafirisha watu faida inakuja kwa kusafirisha bidhaa na makontena. Nchi ambazo zinaweza kuhudumiwa na SGR wana uwwezowa kuchagua kuhudumiwa na bandari ya mombasa. Bora SGR ingejengwa Dar to Zambia, hii ingeleta faida zaidi. Sasa unaleta faida ya dola 1800 katika mradi wa 2 billion USD. Ni sawa uwekeze Tshs 1 billion kwenye biashara upate faida ya 1000 kwa trip.
 
Magufuli IQ yake si ya kujadiliwa na vilaza na matapeli
Km wehu wana IQ kubwa basi nawe na mwenzie. IQ yake ni kutuharibia nchi yetu? Alikuwa fisadi asiyejadiliwa na bunge. Ule uwanja wa ndege wa kimataifa wa Chato ambao sahivi unaanikiwa dagaa ndiyo IQ kubwa? Na vp ile hospitali kubwa ya rufaa ya kitalii? Hata daraja la Kigongo-Busisi ni ufisadi, mradi usikuwa na umuhimu, bunge halikushirikishwa. Alipasua nchi, yule alikuwa shwetwani, ashukuriwe Mungu wa mbinguni
 
Mkuu ukizingatia ukweli kwamba kwa tabia na hulka zetu za usimamizi mbovu wa rasilimali na taasisi zetu, uwezekano wa huu mradi kulipa ni ndoto ya Abunuasi kama sio Alinacha!!!
Serikali haifanyi biashara yenyewe inatoa uduma,ili mwananchi wake apate liziki pasipo kuangaika sana, Sasahivi mtu unaweza ishi Morogoro na ukafanya Dar pasipo usumbufu wowote,mtu aweza kusafirisha bidhaa zake kwa bei ya cheap na kumfikia mlaji kwa wakati na kwa bei nafuu, kuliko bidhaa zivyokuwa zinasafishwa kwa maroli na mabasi,hilo ndilo jukumu la Serikali kujenga miundombinu imala kwa ajili ya watu wake ili wapate kutafuta riziki kwa wepesi.
 
Najiuliza tu, trilioni karibu nne! Kasi ya treni ilitafutwa ili mikoani wapeleke nini Dar, ambacho awali kilikuwa kinachelewa kufika?
Usafiri wa treni ni WA gharama ndogo kuliko malori na mabasi.
Ikifika Mwanza ndizi za Bukoba zitafika Mabibo siku hiyo hiyo na bei itashuka.
Meku London New York wanatumia treni badala ya Daladala au Mwendokasi jiulize kwa nini.
Mwisho we kuna rafiki zangu wenyeji wa Mkoa wa Kagera hawajaenda nyumbani miaka 15 sasa sababu ya nauli kwenda na kurudi, ila kwa treni watafika Mwanza kwa bei rahisi.
Simple economics
 
Mkuu uislamu umeingiaje na unahusikaje kwenye hii hoja, fafanua vizuri.

Uislamu unahusikaje kwenye kuua mabasi ya mwendekasi???

Tueleweshe Mkuu!!!

unafikiri nani kaua mwendokasi? it used to function vizuri tu kabla, nakumbuka wengi walikuwa excited na mwendokasi mpaka foreigners walikuwa wanakuja kujifunza how to run mwendokasi, sasa hivi wameua na hata SGR kama msipopiga kura vizuri 2025 wataua pia kwani ushahidi uko wazi hawaelewi hata kwa nini SGR au lengo la SGR lilikuwa ni nini …
 
Back
Top Bottom