Kwa hiyo kwa Mujibu wa IGP Sirro , Tishio la Usalama ni kwenye makongamano ya wapinzani pekee , kwenye mkusanyiko wa Yanga hakuna?

Kwa hiyo kwa Mujibu wa IGP Sirro , Tishio la Usalama ni kwenye makongamano ya wapinzani pekee , kwenye mkusanyiko wa Yanga hakuna?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

#PICHA_Mwonekano_wa_uwanja_wa_Benjamin_Mkapa_ukiwa_umejaa_mashabiki_wa_timu_ya_@yangasc_ambapo...jpg
 
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

View attachment 1914956
Soka ni raha ,acha kelele za mihemko ya bavicha

USSR
 
Huenda zaidi ya 99% ya mashabiki elfu sitini wa Yanga waliofika leo uwanja wa Taifa walikuwa hawana Barakoa na hakukuwa na utaratibu wa kunawa mikono. Halafu kuna jeshi moja la kipuuzi linasema Kongamano la Chadema lenye watu mia mbili linahatarisha Covid na amani.

Mungu tunaomba atujalie wakina Hamza wengine kama kumi hivi ili heshima ya raia wanyonge irudi hapa Tz.
 
hapa sasa inabidi mwongee na wafuasi wenu,kama wana umoja wa kusambaratisha kauli zenye utata kutoka kwa watawala??

au mnamsubiri mtu kama hamza afanye unyama wake mumuite shujaa wenu!!!kumbe yeye ana harakati zake binafsi.
 
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

View attachment 1914956
Utajuaje labda yanga ni vijana wa hovyo hovyo hata wakifa ni nani anajali!? Lkn mwanasiasa ni kijana anayetunga sheria ya nchi ni lazima walindwe kwa garama yeyote ile. Usiwaze Natania tu anyway.
 
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

View attachment 1914956
Mkusanyiko huu unajumuisha wafuasi wa maccm, machadema, macuf, manccr, maact, matadea n.k ni ngumu kuhujumiwa labda Mikia watake kufanya tukio nao watatulizwa kwa kichapo na mashabiki wa Dar Young Africans.
 
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

View attachment 1914956
Mkusanyiko huu unajumuisha wafuasi wa maccm, machadema, macuf, manccr, maact, matadea n.k ni ngumu kuhujumiwa labda Mikia watake kufanya tukio nao watatulizwa kwa kichapo na mashabiki wa Dar Young Africans
 
Nchi huwa haiongozwi kwa kuangalia kipi ni raha na ni kipi ni karaha kwako,bali huongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria.Umbwa wewe!
Uliwahi kuongoza nchi gani kwa mfano ,mwambie mamako next general election agombee

USSR
 
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

View attachment 1914956
hao ndo maana wanalimwa shaba tu, hii nchi inataka akina hamza wengi
 
Idadi ya maambukizi hapo itakuwa ni kuyatisha na hii delta variant speed yake ya kuchukua uhai ni balaa. Tuombe Mwenyezi Mungu idadi ya vifo hasa Dar isiongezeke.
Corona ni kisingizio tu, hofu yao ni Katiba mpya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye kitengo cha propaganda cha jeshi la Polisi ili kiendane na hali ya sasa , hawa waliopo hawakiwezi ama wamepwaya mno , Huwezi kudanganya kwa kiwango cha chini kiasi hiki .

Mmezuia Mikutano na Makongamano kwa sababu ya Hatari ya usalama kutokana na kadhia ya bunduki za juzi za Hamza , ila mmeruhusu Tamasha la Yanga , tena kwenye mji huohuo wenye hatari zile zile !

Hivi mnadhani mtaendelea kuwadharau wananchi na kuwaongopea hadi lini ?

View attachment 1914956
Ndio maana Sirro kamwambia ana Double Standard
 
Back
Top Bottom