Uchaguzi 2020 Kwa hiyo Mgombea wa CCM kwenye kampeni atakuwa akiongelea Madaraja tu? Kwake yeye Uhuru wa Raia si agenda

Uchaguzi 2020 Kwa hiyo Mgombea wa CCM kwenye kampeni atakuwa akiongelea Madaraja tu? Kwake yeye Uhuru wa Raia si agenda

Chadema na watu wake ovyo sana, kwahiyo na nyie mgombea wenu atakuwa anaongelea uhuru wa kubwabwaja na yeye kutandikwa risasi tu? Ya ngoswe muachie ngoswe. Magu ana mambo mengi kuna baadhi umeyataja na mengine mara 6 yake ya uliyoyataja. Na mengi yake amesha yatekeleza hakuna ambaye hajui zaidi ya nyie waroho wa madaraka mnaotaka kuingia na porini.
Acheni uoga mabumunda. Yapi mengi Basi yaorodheshe😂😂 Hivi mwenye chakula anaefinya mikono wengine wasile na kuwaunguza mikono na ambaye anataka chakula yupi mroho?huna akili bumunda
 
Acheni uoga mabumunda. Yapi mengi Basi yaorodheshe[emoji23][emoji23] Hivi mwenye chakula anaefinya mikono wengine wasile na kuwaunguza mikono na ambaye anataka chakula yupi mroho?huna akili bumunda
Sio lazima nikuambie ni yepi lakini mwenye akili timamu anayajua yote yaliyo fanywa na mzee kwakuwa nyie ni debe tupu kawaida hamuachi kuvuma. Kandama ka Nyumbu kwenye ubora wako.
 
Sio lazima nikuambie ni yepi lakini mwenye akili timamu anayajua yote yaliyo fanywa na mzee kwakuwa nyie ni debe tupu kawaida hamuachi kuvuma. Kandama ka Nyumbu kwenye ubora wako.
Huyu amefanya ya kumalizia au kuzindua waliyoanzisha BWM na JK kama daraja la Kigamboni na Terminal 3. Ya kwake aliyoyaanzisha anayafanya kiholela na hayajakamilika kwa vile anakurupuka. Angalia SGR ni mapicha tu mnatupa kwenye vyombo vya habari na Stiglers Gorge ni uharibifu wa baioanuwai ya dunia.
 
Huyu amefanya ya kumalizia au kuzindua waliyoanzisha BWM na JK kama daraja la Kigamboni na Terminal 3. Ya kwake aliyoyaanzisha anayafanya kiholela na hayajakamilika kwa vile anakurupuka. Angalia SGR ni mapicha tu mnatupa kwenye vyombo vya habari na Stiglers Gorge ni uharibifu wa baioanuwai ya dunia.
Umeyaona ambayo hayajaisha kwa kuwa umeamua kuona huko tu. Bado kuna hospitai za rufaa, vituo vya afya, renovation ya shule kongwe, miradi ya maji, majosho ya mifugo, vihenge vya kitaifa vya kuhifadhia mazao nk. Vyote hivi kamaliza na vina athari chanya kwa wananchi, so nyie endeleeni kujitekenya na kucheka, muda unawaacha..
 
Umeyaona ambayo hayajaisha kwa kuwa umeamua kuona huko tu. Bado kuna hospitai za rufaa, vituo vya afya, renovation ya shule kongwe, miradi ya maji, majosho ya mifugo, vihenge vya kitaifa vya kuhifadhia mazao nk. Vyote hivi kamaliza na vina athari chanya kwa wananchi, so nyie endeleeni kujitekenya na kucheka, muda unawaacha..
Hospitali za Rufaa bila dawa ni UTOPOLO tu!! Na hiyo Ihungo ilyokarabatiwa kwa hela za rambi rambi za wahanga wa tetemeko siyo kipimo kwa kuwa mashule mengi bado yana hali mbaya.

Mtu wenu anapenda masifa tu lakini mwisho wa siku hakuna alilofanya. Hebu afungulie free press kama wenzie tupimane kwa mijadala na wananchi ndiyo waambie. Sasa hivi mumejazwa propaganda zake tu kwa vile kutwa TVs zote ni kusifia na kumwabudu yeye yesu wa Kangi Lugora.
 
Hii nchi ilishakuwa huru kwa takribani miongo sita sasa, wewe endelea na minyorororo hapo ufipani. Sisi tunajenga nchi.
Kwa ubongo kama huo wa kwako ndani ya ccm kila baada ya miaka mitano utaishia kuambulia tshet, kofia na kale kaposho ka wajumbe nchi wataendelea Kula walewale mwisho watakukabidhi vuvuzela ndo zawadi ya kufa nayo
 
Makaburi yanafukuliwa mapema sio.kama alivyokua anafufua misukule sio.ngoja nivute kiti nikae vizuri nichabo yaanayo jiri .huu ndio wakati wa maubutu fitna uongo na kuchongeana lakini kuna maisha baada ya uchaguzi
 
Umeyaona ambayo hayajaisha kwa kuwa umeamua kuona huko tu. Bado kuna hospitai za rufaa, vituo vya afya, renovation ya shule kongwe, miradi ya maji, majosho ya mifugo, vihenge vya kitaifa vya kuhifadhia mazao nk. Vyote hivi kamaliza na vina athari
Majosho yamejengwa wapi mbona huku yapo kibao mabovu au unaongelea Rwanda?
 
Kujenga mahosp. au health centers ambazo hazina dawa wala watumishi ni sawa na kujenga maghala ya kutunzia wagonjwa Kwa hiyo sifa zingine hazina maana.
 
CCM ina mgombea dhaifu mno, nguvu yake huwa ni kukanyaga wengine wasiongee aongee yeye tu..

2015 alikutana na mgombea bubu

Mwaka huu anakutana na mgombea bora kabisa, msomi kamilifu wa Sheria na mjuzi kamilifu wa historia ya nchi yetu na dunia

Sasa mgombea wa CCM anajua Madaraja tu na matofali - ndo maana ukimsema tu anakurushia tofali miguuni likuumize, Hana kingine anachojua

So Huyu mgombea Urais wa CCM atakuwa anaongelea Matofali na madaraja tu? Na Uwanja wa Ndege wa kijijini kwao? Na Ndege za kumpeleka kijijini kula Krismas?

Kwake Uhuru na Ustawi wa raia si agenda?

CCM mna kazi...sema mmebeba vipande vya tofali mikononi!
Kuwa na subira usikie atakachoongelea come 27/08/2020. Usiwe na haraka ya kuwaza waza na kujiumiza kichwa bure, subiri tu kwani mvumilivu hula mbivu. Kampeni za Lissu za haki za binadamu tumezisikia.
 
Back
Top Bottom