Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Sasa, huo ushahidi ungepelekwa mahakamani. Wakati mwingine tunalaumu mahakama bure.
Kesi za mauaji, unahitajika ushahidi haswa, yaani pasipo shaka! Kama kuna shaka, ni bora kumuachia mtuhumiwa, badala ya kumuadhibu!
 
Kama kweli alihusika Karma is... Mungu ndo anajua
Wakati mwingine kuiachia karma iamue ni ujinga hasa kama maamuzi ya kuiwahisha hiyo karma yapo mikononi / ndani ya uwezo wako.
 
Mmachame ni nani sasa kwenye hiyo kesi? Maana mke wa Msuya ni mrangi, na msuya ni mpare, uwe unaficha u kumer wako sometime
 
Ili mambo haya yasikukute usikaribie mwanamke wa Kimachame
Waacheni wamachame wapumzike jamani, mke wa msuya ni mrangi wa kondoa, k=lyn si mmachame, mke mwizi wa davis mosha si mmachame,hebu tutajie kesi angalau mbili ambazo zimemuhusisha mmachame,au kukariri tu?
 
Kuna mtu aliniambia mtu wa mwanzo wa kucheza naye kama umeshitakiwa ni mpelelezi. Huyu ndiye anayekusanya ushahidi na kumpa muendesha mashitaka.
 
Unawezekana ukawa na wanasheria wote 100 wazuri lkn ikala kwako. Mbowe kama sio msamaha wa mama sasa tungehesabu miaka. Binaadam akikusudia Allah pekee ndio wa kukuokoa.
 
Jibu alitoa makonda kwenye moja ya mkutano wake wananchi wa hali ya chini msitegemee mahakama muachieni Mungu



Pesa inaweza ikanunua uhuru wako au ikauza uhuru wako
 
Ningekuelekeza sehemu lakini
 
Unawezekana ukawa na wanasheria wote 100 wazuri lkn ikala kwako. Mbowe kama sio msamaha wa mama sasa tungehesabu miaka. Binaadam akikusudia Allah pekee ndio wa kukuokoa.
Kabisa mkuu
 
Hiking kitu unaweza kukiona kawaida hadi kikukute.. Na sio mahakamani tu, kwa ufupi maskini hana haki
 
Niliwahi kumuambia mtu hiki kitu, alinibishia sana, natamani aione hii.
Ni kawaida tu mkuu, unajua msiba huwezi kuujua uchungu wake hadi ukufikie. Ndio jinsi hizi issues zilivyo

Kuna watu wamepoteza haki kwa kutokujua taratibu za kisheria au kutopata watu sahihi wa kuwaelekeza haswa jinsi ya kujielezea.

Ukishuhudia kesi za kimahakama utajua tu kuwa ni rahisi kujichanganya
 
Visasi vya muda mrefu
 
Ninavosikia Bilionea aliacha Urithi 60% kwa mke na 40% kwa ndugu zake sasa mke akataka mali zote ale mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…