Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Je una uhakikaa yule mwanmke Ni mmachame

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Inafikirisha sna nshindwa kupata angle chuki gan had ue ndugu wa mume ili umiliki pesa of which pesa iko kwa mikono yake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mh.Makonda alishasema kua nchi hii mahakama sio sehemu yakupata haki.Kwenye ile kauli alikua sahihi asilimia 100000.Sio mara moja au mbili mahakama na polisi zimeshutumiwa kua hawatendi haki.lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa zakurekebisha hali ya mambo ndani ya hivyo vyombo.Sasa kuwauliza hao hao walioshindwa nikupoteza muda.Hao ndugu watafute haki ya ndugu yao kwa namna nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alimwua wifi kwasababu wifi alikuwa anajua siri nyingi ikiwa ni pamoja na ndiye alimwua mume wake. Hata Jaji Kakolaki amejua ukweli ila pesa ilimzidi nguvu. Serikali ikate rufaa. Wale wanawake wa UWT wako wapi? Wakate rufaa court of appeal baada ya hapo rufaa ya mwisho ni kwa mwenyenzi Mungu pekee.
 
Kamtamfute aliyemchinja ufungue kesi. Huyo uliyemleta tumekataa.
 
Eleza kiwanja Kiko wapi acha porojo kiwanja akiuze aneth kwa pesa alizo acha marehemu mume wake

Acheni uzushi wa kijinga kiwanja kilikikuwa na dhamani ya Kia's gani Hadi atolewe roho Teja Bei kiwanja hcho mnk mm Nina nina rfk angu alikuwa valuer wa Mali za msuya

Kuna kitu kingine baasi apart from kiwanja ambacho ndio kifo




Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unajiuliza kama kweli, halafu tena wazungumzia pesa. Unaamini kipi?
 
Kwamba huyu Mke wa Msuya ndiye aliyemuua Msuya ? hili jipya
 
Mwisho wa siku wote tutakufa, hata Lazaro pamoja na kufufuliwa na Yesu lakini akafa tena. Know this and know peace.
 
Hatuna issue za kusimulia hapa, mbona hukuomba uwe shahidi mahakamani?
 
Bado hujatushawishi. Aneth hata akiuwa, Wifi anapataje mamlaka ya kuuza mali ya Aneth?
 
Halafu anatoka anasema yesu wangu nikaona kweli dunia hii kuna watu wanafiki.
 
Nilisoma katika utetezi wa mjane, kwanza aliwapa mawifi zake wote mil 70 kila mmoja kama sehemu ya mirathi. Akawapa wakwe pia.
Halafu marehemu Aneth, amemlea mwenyewe (aliletwa kwake akiwa mdogo sana), kakulia kwake, kamsomesha na hata posa yake ilipokelewa nyumbani kwake. Ina maana ni mtu aliyekuwa na ukaribu sana na wifi yake.
Kweli Aneth kauwawa, ila nani kamuuwa na kwa nini? Remains the question of the case.
 
Ok tukubali kuwa make wa Msuya sio yeye alipanga mauaji, Kwa hiyo ndio mwisho au muuaji atatafutwa?
 
Umefanya kosa la kiufundi kwa kudharau wenye elimu ndogo ya darasani ukiamini ndiyo chanzo cha kuharibika kwa hiyo kesi na wahusika halisi kutotiwa hatiani.
Kitu unachotakiwa kuweka akilini ni kwamba kuna watu ni wataalamu wabobezi wa hizo shughuli lakini wala hawana elimu kubwa kama unavyotaka kutuaminisha na wamefanya vizuri kwenye mashauri magumu na kuleta matokeo chanya ambayo hata mwenye PHD hawezi kupata matokeo kama hayo.
Changamoto inayopelekea mambo mengi kuharibika hivi sasa ni kuwadharau wabobezi na imani kubwa imejengwa kwa hao ambao wewe unaamini wana elimu kubwa ambayo wameshindwa kuitumia na kulea matokeo chanya.
Usikute hata hiyo kesi waliosababisha kuharibika ni hao unaowaamini wana elimu kubwa aidha kwa kukosa uzalendo na kuendekeza tamaa au kwa kudharau kuwa hizo mambo hazitakiwi kupuuza maoni na ushauri wa wabobezi
 
Katika kesi ambayo siwezi kuwalaumu upelelezi na Polisi kwa ujumla ni hii. Upelelezi ulinyooka mno ila hela Kaka, majaji na hela, mawakili wa serikali na hela. Kati ya watu wasiosemwa lakini wako Moto kwa mlungura kwa Sasa ni ofisi ya DPP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…