Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Anaweza kuwa kweli kauawa , lakini aliyemuua ni huyu mnayemdhania, kwanini ?
Yes, siyo kila mtu anayejitoa mhanga ni gaidi, bali wengine ni mashujaa wanaopigania haki zao zilizodhulumiwa.da!!! nimemkumbuka yule msomali HAMZA alivokamata mtutu na kuamua kujiongeza!!!!,,,,,usione m2 anaamua kujitoa mhanga ukachukulia ni jambo dogo aisee!!
Hivyo vyombo vinapaswa kutumia utaalam wa Hali ya juu kuntambua mtu aliyetenda hilo kosa.Ndio maana tunataka mamlaka zilizowekwa zenye jukumu la kukinda watu na mali zao wawajibike.
Watuambie walofanya hayo mauaji.
Hivi kweli mtu auwawe Tena nyumbani kwake halafu ibaki kuwa asijulikane alofanya mauaji wakati tuna vyombo vya doła vya kikatiba vya kulinda maisha yake na mali?
alijiua na kukimbilia kusikojulikana!Anaweza kuwa kweli kauawa , lakini aliyemuua ni huyu mnayemdhania, kwanini ?
Hii haiwezi kuwa sababu. Yaani ishindikane kutengeneza hati nyingine?Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.
Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiweka Kwa dada yake Aneth Msuya.
Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya, Dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja kiondoke .
Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa