Kwa hiyo tunasemaje, majemedari wa Iran wamelipiwa kisasi kwa Iran kumjeruhi binti wa Israel

🇮🇱🔻44 Mossad military officers were killed in Navatim Air Base🔥
#IranAttack #Iranian ✌️🇮🇷
 
Kabinti kamoja kamaskini ka kiyahudi kasikojua hili wala lile ni equivalent na wale majenero wangapi waliuliwa kule ubalozini!

By the way kale kabinti kalitibiwa and as of now kako mitaani kanacheza na watoto wenzie.
 
Wakati huo wairan 7 tena seniors wa jeshi walishawahishwa kuzimu wanaliwa na mafunza ya kuzimu...chenga twawalaaa ila npira kuingia kimian ndo badoooo.... 7-0
Generals to put it more clearly!
 

Hiyo binti alikuwa kwenye kambi ya jeshi la anga anafanya nini usiku was masita?



Au Kumbe exact price ni ipi ya kulipa? Kusaka mtoto chokoraa?
 
Kila myahudi DNA yake ina ujeshi ndani so binti kuwa karibu na kambi kawaida tu

Ndivyo ulivyochuuzwa ukachuuzika? Wewe ungeambiwa kajeruhiwa nzi Bila shaka ungekubali.
 
Wamakonde wanasemaga kuwawewe kuweza?

Mabom na drones zote 99% zimeshushwa unategemea nini.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
hizo ni story tu kipigo kimefika uliwahi sikia anaye pigwa akakiri kapigwa haswa America na Israel ambao siku zote wanajionyesha wao wababe wa dunia.

Kama Israel kweli kaungusha 99% ya hizo drones unadhani asinge enda mshambulia Iran 😄

Anacho ogopa ikiwa kipigo kidogo kasaidiwa na nchi sita na drone zimefika. na Missiles zime fika kwenye target.

Israel ni simba kwenye karatasi tu 😄
 
hizo ni story tu kipigo kimefika uliwahi sikia anaye pigwa akakiri kapigwa haswa America na Israel ambao siku zote wanajionyesha wao wababe wa dunia.

Mbona Israel October 7 walikiri kupigwa na Hamas na wakainyesha hadi maeneo waliyoshambuliwa.Na ulimwengu wa waislamu ukalipuka kwa furaha.

Hana haja ya kuficha na hawezi tungeona uharibifu uliofanywa na hayo mashambulizi ya Iran
 
Mbona Israel October 7 walikiri kupigwa na Hamas na wakainyesha hadi maeneo waliyoshambuliwa.Na ulimwengu wa waislamu ukalipuka kwa furaha.

Hana haja ya kuficha na hawezi tungeona uharibifu uliofanywa na hayo mashambulizi ya Iran
We akili zako zimepinda kweli Hamasi ndio walikuwa wakirecords zile video c Israel.

Israel alicho onyesha ni video za watoto aliowauwa wa kipalestine akisema Hamasi kawauwa watoto wa Israel.

Toka lini Israel. AMERICA, Muingereza na Mfaransa wakawa wa kweli?

Afu wao wakiguswa hata kama walikuwa na makosa wanapeleka kilio UN 😄
 
Mkuu tia akili Israel toka vita na Hamas imeanza hawajawahi kusema ukweli na kutoa taarifa zao halisi, wiki ilopita wamepiga marufuku hadi Aljazeera kwa kuvujisha taarifa zao wanachikichikia tu, Iran wamesema wao hawakusudia kuuwa watu walikusudia kupiga kwenye base ya IDF ambayo ilitumika kufanya shambulizi Damascas kule Syiria na Kamanda wa Iran anasema wamefanikiwa hassa 100%
 
, Iran wamesema wao hawakusudia kuuwa watu walikusudia kupiga kwenye base ya IDF ambayo ilitumika kufanya shambulizi Damascas kule Syiria na Kamanda wa Iran anasema wamefanikiwa hassa 100%
Israel wameonyesha hiyo base hapo kombora lilipotua limefukua shimo tu kwenye barabara za uwanja wa kambi.Shimo moja lakama futi sita upana sita urefu
 
Kwanza majuzi walikanusha hakuna base yao ilio pigwa, jana usiku wakakiri kuwa wanatengenza madhara kwenye base zao 😄


View: https://youtu.be/ZNiu4DLurHY?si=MyzmvEH8NalBbXCm
 
Wao wakipiga watoaji ripoti ni wao na wakipigwa watoaji ripoti ni wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…