ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Aishi miaka mingi mzee RageMna magroup Ila hamna channel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aishi miaka mingi mzee RageMna magroup Ila hamna channel.
Hata Mashujaa fc wanayo hayo magroup mnayoyaita channel 😂😂Aishi miaka mingi mzee Rage
Wewe mbumbumbu unashindwa nini kwenda Whatsapp kuhakiki? Kweli Rage hakukosea, unabisha wakati unasmart phone, Mandunduka bwana.Kuna Yanga app, kuna Yanga TV Ila hakuna channel ya Yanga whatsapp.
Labda kama imeunganishwa na channel ya Mwigulu Nchemba itakuwa ipo huko.
Mambumbumbu hayo, yanakalia poyoyo tu.Mnashidwa kuandikishia wanachama wenu kidigitali ambapo mngeingiza pesa ya kuendesha timu mnakimbilia WhatsApp channel by the way Yanga tunayo channel kitambo sema hatujataka iwe big deal mpka kuita waandishi wa habari View attachment 2931125
Nimepita huko nikakutana na channel ya Mwigulu Nchemba Ila ya 🐸🐸 haipo.Wewe mbumbumbu unashindwa nini kwenda Whatsapp kuhakiki?
Kwa Tanzania SIMBA ni kinara wa mafanikio kimataifa, CAFCL wamepiga sana tu huko hadi wakajulikana mapema kimataifa, walifungulia njia kwa kutinga hadi robo fainali mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote TZ, [emoji196][emoji196]wamewaiga Simba watangulizi wao kwa kuchungulia kwa mara ya kwanza CAFCL hadi robo msimu huu.
Sina shaka [emoji196][emoji196]wataficha aibu yao na kujikaza kiume kwa kuwaiga Simba watafungua channel yao huko whatsapp soon ili wakimbizane na vinara wa kimataifa.
Hakuna ubishi Simba ni baba lao kimafanikio hapa tz, hivyo [emoji196][emoji196]wasione aibu kuwaiga Simba.
hahahah utopwax pro maxWalipewa na bibi yao ila baada ya kuja mjini wameliboresha kwa kulipa uzungu flani hivi wanajiita Deportivo de Utopolo
Nawewe ufiche albu mwaka huu ufike hata nusu finalKwa Tanzania SIMBA ni kinara wa mafanikio kimataifa, CAFCL wamepiga sana tu huko hadi wakajulikana mapema kimataifa, walifungulia njia kwa kutinga hadi robo fainali mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote TZ, 🐸🐸wamewaiga Simba watangulizi wao kwa kuchungulia kwa mara ya kwanza CAFCL hadi robo msimu huu.
Sina shaka 🐸🐸wataficha aibu yao na kujikaza kiume kwa kuwaiga Simba watafungua channel yao huko whatsapp soon ili wakimbizane na vinara wa kimataifa.
Hakuna ubishi Simba ni baba lao kimafanikio hapa tz, hivyo 🐸🐸wasione aibu kuwaiga Simba.
Ipo muda tu ila mpaka upewe link ya kuingiaNimepita huko nikakutana na channel ya Mwigulu Nchemba Ila ya [emoji196][emoji196] haipo.
Mbumbumbu is you [emoji196]
Siyo rahisi kuipata bila kutumiwa link huioniWewe mbumbumbu unashindwa nini kwenda Whatsapp kuhakiki? Kweli Rage hakukosea, unabisha wakati unasmart phone, Mandunduka bwana.
Mambo ya kupeana link yapo kwenye magroup pekee.Ipo muda tu ila mpaka upewe link ya kuingia
Hii ni kwa channel ya 🐸🐸tu ama na channels zingine ni mpaka kutumiwa ili kuzipata?Siyo rahisi kuipata bila kutumiwa link huioni
Maskini, kumbe tatizo ni kubwa kuliko tulivyokuwa tunadhani. Kumbe wanahitaji warsha kabisa kuwafundisha hizo channel ni niniMambo ya kupeana link yapo kwenye magroup pekee.
Kwenye channel ni kuseach na kufollow tu mkuu.
Naona 🐸🐸hamuelewi hata maana channel whatsapp ni nini 🤣
Siku zote 🐸 ni 🐸tu, waache waendelee na magroup ya Haji na Kamwe wanayoyaita kuwa ni channel 😂😂Maskini, kumbe tatizo ni kubwa kuliko tulivyokuwa tunadhani. Kumbe wanahitaji warsha kabisa kuwafundisha hizo channel ni nini