kajigi
Member
- Oct 5, 2013
- 49
- 12
Aseee mnaosema hzo kozi cha mtoto shaurini wadogo zenu waje watawapa habari mm npo mwaka wa Pili LMV ARDHI akat natoka advance nilikuwa nabisha kama ninyii Ila mpaka sasa kuna watu nawaona wakizurura nataman ningekuwa wao...
aloooo Fanya ukiona mdogo wako kachaguliwa hapo mueleze ukweli ajue anakuja kusoma la sivyo elimu yake itaishia mwaka wa kwanza.
Sikatai kwamba uko kwingiñe sio kugum lakin....duuuh "shake well b4 use"
aloooo Fanya ukiona mdogo wako kachaguliwa hapo mueleze ukweli ajue anakuja kusoma la sivyo elimu yake itaishia mwaka wa kwanza.
Sikatai kwamba uko kwingiñe sio kugum lakin....duuuh "shake well b4 use"