Kwa hizi point naweza kuapply DIT?

Kwa hizi point naweza kuapply DIT?

Wachaka

Senior Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
107
Reaction score
23
Habari zenyu bhanaa!nna div.3 ya 22,credits 6,phy-C;Math-D;Chem-C. cna F,naweza nkaapply college hapo juu!?msaada wenu wadau.(hz n reslts z o'level)
 
habar zenu wanajamii forum nahitaji msaada wenu kwa anae kifahamu chuo cha katavi cha kilimo coz nahtaji kujiunga pale xo cfahamu detailz zake. nawaclixha
 
Unapata kwa course za Ordinary Diploma pasipo shaka yoyote, ila kwa undani zaidi tembelea chuo husika ama angalia admission requirement zao kupitia website yao ambayo ni DIT Home

All the best
 
Habari zenyu bhanaa!nna div.3 ya 22,credits 6,phy-C;Math-D;Chem-C. cna F,naweza nkaapply college hapo juu!?msaada wenu wadau.(hz n reslts z o'level)

Yaa unaweza kupata nina rafiki yangu alikuwa na iii.23 akapata CHUO CHA UHANDISI WA MAJI
 
habar zenu wanajamii forum nahitaji msaada wenu kwa anae kifahamu chuo cha katavi cha kilimo coz nahtaji kujiunga pale xo cfahamu detailz zake. nawaclixha

Kwa uandishi mbaya kama huu ni ngumu sana kwa mtu kukupa ushirikiano katika swala lako unless awe kama wewe.
 
Habari zenyu bhanaa!nna
div.3 ya 22,credits 6,phy-C;Math-D;Chem-C. cna F,naweza nkaapply college
hapo juu!?msaada wenu wadau.(hz n reslts z o'level)

Labda kwa Pre-entry
 
Habari zenyu bhanaa!nna div.3 ya 22,credits 6,phy-C;Math-D;Chem-C. cna F,naweza nkaapply college hapo juu!?msaada wenu wadau.(hz n reslts z o'level)

unachaguliwa tu mkuu wala usiwe na shaka tena unavojaza form jaza direct entry ww hutafanya hiyo pre entry lakini kwanini usiende advance mkuu?
 
unachaguliwa tu mkuu wala usiwe na shaka tena unavojaza form jaza direct entry ww hutafanya hiyo pre entry lakini kwanini usiende advance mkuu?

.
Kaka
huyo jamaa na uhakika hajamaliza mwaka jana! Mana hakuna div3 ya 23!
.
Afu kingine hakuna anaenda direct entry kama ana D! Kwenye maths,chem, & phys
 
unachaguliwa tu mkuu
wala usiwe na shaka tena unavojaza form jaza direct entry ww hutafanya
hiyo pre entry lakini kwanini usiende advance mkuu?

Kumbuka hzo C tatu n minimum sasa how C mbil na D moja aende direct
 
yeah!nlimaliza 2010.nkapiga pale tambaza lkn nlishindwa kuendele kutokana na fujo za mjuni na florida.
 
Kwa hayo matokeo unapata mkuu. Me mwenyewe nimepiga pale arusha tech. Fani ya mechanical engineering. Na mwaka huu naenda kuchukua jiwe.

Fanya application d.i.t, a.t.c na mist am sure utapata chance tena direct entry kwa hayo matokeo yako.
 
Kwa hayo matokeo unapata mkuu. Me mwenyewe nimepiga pale arusha tech. Fani ya mechanical engineering. Na mwaka huu naenda kuchukua jiwe.

Fanya application d.i.t, a.t.c na mist am sure utapata chance tena direct entry kwa hayo matokeo yako.

.
What is direct entry mkuu? Naona hauko sahihi hapo!
 
Direct entry ni kwmba hautaenda kufanya mtihani wa kujiunga na pia utaweza pata nafasi ya government sponsorship.
 
Jaman na mm nimeapply dit civil ila mbona wa2 nyumban wanasema watu wa diploma kuanzia ss wanakuw hawapew mkop ispokuw dipl ya udaktar na ualm,yan naona wananchangny kwa kwel
 
Jaman na mm nimeapply dit civil ila mbona wa2 nyumban wanasema watu wa diploma kuanzia ss wanakuw hawapew mkop ispokuw dipl ya udaktar na ualm,yan naona wananchangny kwa kwel

.
mkopo unapewa indirect yaani hutoushika mkononi!
bali utalipa laki 2 tu kama sijakosea!
.
 
Back
Top Bottom