rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Naona ulitegemea kuwa first lady ila ni ndoto za mchanaMkuu ww ni kiazi fulani, ndio maana unatapika propaganda mfu ulizozisikia toka kwa wahuni wenzako. Ukitaka kujua ww ni kiazi na huna lolote ujualo, angalia bandiko lako, umeandika bila kuweka koma wala nukta!
Naona ulitegemea kuwa first lady ila ni ndoto za mchana
Amka ndotoni Mkuu
Jana vyombo vya duniani vimemuingiza Rais Magufuli katika orodha ya Ma Rais kumi bora duniani wanaojenga uchumi na maendeleo kwenye Nchi zao
Membe anawafaa Chadema kwakuwa wanakumbatia mafisadi
Kama Ni mkweli utasema kinyume chake.jpm kwa kuropoka ana 95%Rais Magufuli kwenye hotuba zake huonyesha njia hana uropokaji km Lissu
Mbowe kidogo ni mstaarabu ila sio huyo mropkaji aliyeko ulaya
Kulikoni Corona Mkuu.Mbona mnamtizama Lissu pekee wakati wapo wengi waliatangaza nia? MNAMWOGOPA?
Lisu atabaki kuwa mzalendo hata kama hatakumbukwa naamini Mungu aliyemponya katika janga la risasi atamshindia yaliyo memaSasa hivi washaaanza kampeini tangu Lissu atesti mitambo
Hivi Lissu ndo huwa anatuambia kuwa tulikosea kuchagua?CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni CHADEMA tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi.
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru.
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama.
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani.
Kazi kwenu CHADEMA muamue msimamishe Lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Lisu atabaki kuwa mzalendo hata kama hatakumbukwa naamini Mungu aliyemponya katika janga la risasi atamshindia yaliyo mema
Hivi Lissu ndo huwa anatuambia kuwa tulikosea kuchagua?
Naona ulitegemea kuwa first lady ila ni ndoto za mchana
Alimdhihakije? Alimkejelije? Ungeeleza hayo ili nasisi ambao hatukuwepo tujue halafu tupime na kuchuja. Vinginevyo hizo ni ndoto kama ndoto zingine. Lisu hana hizo sifa unazotaka kutuaminisha Lisu ndiye mkombozi wa kweli katika hii nchi na ndo maana mungu hakuruhusu afe licha ya risasi zote zile.Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Kinana nape, makamba ngereja walimdhihaki JPM walimuita "mshamba"Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Haahaa, ukiona adui yako anakusifia jiangalie wapi umekosea
Mwancccm anaweza kuwa m shauri wa Chama CDM? Kwa mapenzi yapi?mtoa mada anaeza kuwa kalewa Ulanzi!!
Huo kama ushauri wako basi ni wa hovyo kabisa