Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Mkuu ww ni kiazi fulani, ndio maana unatapika propaganda mfu ulizozisikia toka kwa wahuni wenzako. Ukitaka kujua ww ni kiazi na huna lolote ujualo, angalia bandiko lako, umeandika bila kuweka koma wala nukta!
Naona ulitegemea kuwa first lady ila ni ndoto za mchana
 
Naona ulitegemea kuwa first lady ila ni ndoto za mchana

Nasema hivi, ili uweze kujadiliana na wanaume, rudi shule ukajifunze kanuni za uandishi kwanza. Uzuri sasa hivi elimu ni bure, hivyo hamna kisingizio.
 
Amka ndotoni Mkuu
Jana vyombo vya duniani vimemuingiza Rais Magufuli katika orodha ya Ma Rais kumi bora duniani wanaojenga uchumi na maendeleo kwenye Nchi zao

Membe anawafaa Chadema kwakuwa wanakumbatia mafisadi
 

Attachments

  • ccm.jpg
    ccm.jpg
    105.2 KB · Views: 1
Sasa hivi washaaanza kampeini tangu Lissu atesti mitambo
Lisu atabaki kuwa mzalendo hata kama hatakumbukwa naamini Mungu aliyemponya katika janga la risasi atamshindia yaliyo mema
 
Usiyempenda kaja!

Mtakoma maccm mwaka huu. Jaribio la kumuua lilifeli na hata jaribio la kumzuia asigombee urais litafeli.

Jamaa atakuja kuchomoa betri,pombe mwaa!
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni CHADEMA tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi.

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru.

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama.

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani.

Kazi kwenu CHADEMA muamue msimamishe Lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Hivi Lissu ndo huwa anatuambia kuwa tulikosea kuchagua?
 
Atakumbukwa sana na anaendelea kukumbukwa
Lisu atabaki kuwa mzalendo hata kama hatakumbukwa naamini Mungu aliyemponya katika janga la risasi atamshindia yaliyo mema
 
Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe

Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana

Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !

Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu

Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Alimdhihakije? Alimkejelije? Ungeeleza hayo ili nasisi ambao hatukuwepo tujue halafu tupime na kuchuja. Vinginevyo hizo ni ndoto kama ndoto zingine. Lisu hana hizo sifa unazotaka kutuaminisha Lisu ndiye mkombozi wa kweli katika hii nchi na ndo maana mungu hakuruhusu afe licha ya risasi zote zile.
 
Mwancccm anaweza kuwa m shauri wa Chama CDM? Kwa mapenzi yapi?mtoa mada anaeza kuwa kalewa Ulanzi!!
 
Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe

Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana

Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !

Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu

Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Kinana nape, makamba ngereja walimdhihaki JPM walimuita "mshamba"
 
Back
Top Bottom