Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
-
- #301
Usiyempenda kaja!
Mtakoma maccm mwaka huu. Jaribio la kumuua lilifeli na hata jaribio la kumzuia asigombee urais litafeli.
Jamaa atakuja kuchomoa betri,pombe mwaa!
Hivi Lissu ndo huwa anatuambia kuwa tulikosea kuchagua?
Atakumbukwa sana na anaendelea kukumbukwa
Rais Magufuli anatosha
Alimdhihakije? Alimkejelije? Ungeeleza hayo ili nasisi ambao hatukuwepo tujue halafu tupime na kuchuja. Vinginevyo hizo ni ndoto kama ndoto zingine. Lisu hana hizo sifa unazotaka kutuaminisha Lisu ndiye mkombozi wa kweli katika hii nchi na ndo maana mungu hakuruhusu afe licha ya risasi zote zile.
Hivi hofu juu ya Lissu ni ipi mpaka mnahangaika naye kiasi hiki? Mnadhani mnamchafua kumbe ndio kwanza mnamjenga na kumtangaza zaidi
Jr[emoji769]
Lisu atabaki kuwa mzalendo hata kama hatakumbukwa naamini Mungu aliyemponya katika janga la risasi atamshindia yaliyo mema
Watumishi wa umma wamepigika miaka 5 tunataka kusikiliza hoja na siyo uongo
Wewe unawasemea kama nani tena kwa ulivyo kwenye orodha ya wana ccm wanaopata riziki yao kwa kuandika upupu mitandaoni huyo mnayemkataa ndio anafaa make ndio mnayemuogopa.
Nyie ni lini mtampata mgombea anayeweza kushinda bila kusaidiwa na tume kuiba kura?? When.
Afadhali wanywa viroba kuliko wanywa wanzuki kama wewe na mwenzako @ kipara kipya na Magonjwa MtambukaAtakumbukwa na wanywa viroba
yaani ma-CCM ni vilaza na viazi kweli kweli, upepo wa Lissu unawatesa kweli kweli, na hapo bado hajachukua hata hiyo fomu ya ugombea lakini tayri mmeisha anza kuweweseka
Makosa makubwa ya Tundu Lissu ni kujifanya anajua kila kitu na kuwa yeye ndiyo sahihi hii ni sifa kubwa ya dikteta yeyote
Kukubali kumsafisha Lowassa anaonekana hana msimamo pia ana tamaa ya pesa
Kumkashifu na kumkejeli baba wa Taifa ambaye mazuri yake kwa taifa ni mengi kuliko mabaya yake
Kusapoti ndoa za jinsia moja ili mradi kuwafurahisha wazungu huku akijua pamoja na mambo hayo kufanyika si utamaduni wa watu wa watanzania wengi
Hivi vitu ndio silaha kubwa zitatumika kummaliza kwenye kampeni mambo mengine kama kukaidi kuhudhuria kesi zake kwa kisingizio cha usalama wake lakinii anaomba kugombea urais inaonyesha pamoja na yeye kuwa mwanashera aheshimu sheria
Hatuhitaji yule mropkaji anayeishi kwa Mabeberu aje kutuchafulia Nchi
Wewe uliye laanika ulimtukana nani?
Ni ushauri tu kama mnataka chama kisiingie shimoni
Watumishi wa umma wamepigika miaka 5 tunataka kusikiliza hoja na siyo uongo
Ni vema wakakumbuka yaliyo tokea sudan