Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Kumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe

Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana

Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !

Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu

Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Baba wa Taifa ni Mungu?
 
Lazima tiwe na wagombea timamu na imara Mkuu bila kujali Chama, tunataka Rais Magufuli apate mpinzani imara na siyo uyo jamaa enu

Wewe wala hautakii mema nchi wala wapinzani ni mshabiki tu. Msije mkajifanya kama vile hatujui nia zenu hapa na maono yenu madogo. Wote tunawajua na watu wengi hapa wanajua mambo kuliko mnavyofikiri. Nimeshangazwa na ujasiri wetu wa kuona watu hapa wajinga!
 
Kamanda Kwahiyo unataka mropokaji ndio agombee kupitia Chadema ?
Wewe wala hautakii mema nchi wala wapinzani ni mshabiki tu. Msije mkajifanya kama vile hatujui nia zenu hapa na maono yenu madogo. Wote tunawajua na watu wengi hapa wanajua mambo kuliko mnavyofikiri. Nimeshangazwa na ujasiri wetu wa kuona watu hapa wajinga!
 
Kamanda Kwahiyo unataka mropokaji ndio agombee kupitia Chadema ?

Watanzania ndiyo wata amua wananchi wengi wanajua Lissu ni makamu wa mwenyekiti wa Chadema. Haya mambo ya uropokaji ni wewe. Ukiwa na kipaji cha kuongea wali maadui wasio na vipaji wanakuita mropokaji. Mropokaji ambaye anatafutwa na usalama mpaka kupigwa risasi!. Obama naye alikuwa mropokaji. Kama kweli ni mropokaji waweke debate hapo kila mmoja asema amefanya nini kwenye maisha yake na atafanya nini tuone mipango yao. Hapo tutajua nani ni mropokaji. Ukienda kuwasikiliza wanasiasa kwenye Youtube utajua nani mropokaji
 
Mbunge wa Chadema alisema lissu kupigwa risasi ilikuwa mpango wa chama Kwasababu alitaka kujijenga yeye Ndio maana majasusi ya Chadema yakataka kumpoteza Hujiulizi Kwanini walimtorosha dereva wa lissu ?

Mkuu lissu ni mtoto mwepesi sana satatu asubuhi Ccm inaibuka kidedea
Watanzania ndiyo wata amua wananchi wengi wanajua Lissu ni makamu wa mwenyekiti wa Chadema. Haya mambo ya uropokaji ni wewe. Ukiwa na kipaji cha kuongea wali maadui wasio na vipaji wanakuita mropokaji. Mropokaji ambaye anatafutwa na usalama mpaka kupigwa risasi!. Obama naye alikuwa mropokaji. Kama kweli ni mropokaji waweke debate hapo kila mmoja asema amefanya nini kwenye maisha yake na atafanya nini tuone mipango yao. Hapo tutajua nani ni mropokaji. Ukienda kuwasikiliza wanasiasa kwenye Youtube utajua nani mropokaji
 
Rais Magufuli atashinda kwa 98% bila hata kupiga kampeni anakubalika sana na anapendwa sana na Watanzania
Sio 98% tu, akipenda anaweza hata "Akapewa" 101%, lkn "What can a person achieve if he gains the whole world and eventually forfeit his soul"????
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na Lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwa sababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni CHADEMA tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi.

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru.

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama.

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani.

Kazi kwenu CHADEMA muamue msimamishe Lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Yaani unataka tuwe wapumbavu kupokea ushauri wakipumbavu?
 
Mbunge wa Chadema alisema lissu kupigwa risasi ilikuwa mpango wa chama Kwasababu alitaka kujijenga yeye Ndio maana majasusi ya Chadema yakataka kumpoteza Hujiulizi Kwanini walimtorosha dereva wa lissu ?

Mkuu lissu ni mtoto mwepesi sana satatu asubuhi Ccm inaibuka kidedea

Mbunge ambaye ni waziri wa Afya sasa. Yaani unafikiri Watanzania wangapi wataamini huu upuuzi. Mbona Lissu mwenyewe ameshawataja. Mna Kazi mwaka huu. Kama ni rahisi kwanini mnaongelea
 
Back
Top Bottom