Chadema!Chadema
[emoji1548][emoji1536][emoji1548][emoji1536][emoji322][emoji322][emoji323][emoji323]Peopleeeeeeeeesssssss!!!!
Kwa huu upupu utapewa buku 7?Ni ukweli usiopingika kuwa CCM katika mwaka huu wa uchaguzi imewashinda Chadema katika nyanja zote.
Mitandao ya kijamii
Hapa utaona ndani ya Jf Pro Chadema wamebakia na matusi na propaganda za picha za zamani. Facebook na Istagram pako kimya, WhatsApp hata hawaongei.
MMS -Hakuna zile mbwembwe za 'Chagua Lowassa' kama ilivyokuwa 2015
Ndio nini sasa? Mtoa mada yupo sawa.Chadema
Badili jina mkuu ili maelezo yako yapimikeNi ukweli usiopingika kuwa CCM katika mwaka huu wa uchaguzi imewashinda Chadema katika nyanja zote...
Tuwachague mkapore KOROSHONi ukweli usiopingika kuwa CCM katika mwaka huu wa uchaguzi imewashinda Chadema katika nyanja zote....
Hizo ajira atatoa na kuoigwa chini anapigwa chini tuHongera kwa kushinda mtandaoni ila huku ground kwa moto sana.
Magufuli anajikuta anatoa hata ajira ambazo hazikuwa kwenye plan zake ili tu kujitahidi ku fit in kwenye league ya Kamanda Lissu
Alafu useme mna hoja za kujivunia?Kwenye Ground ndio wala usiongelee ..