Kwa hoja ipi watu wanaamini kuwa taifa la Israel ni taifa la Mungu ingalikuwa ni taifa linaloishi kwa Upanga?

Mwambie mkuu ili ajishushe na kuomba msamaha kabsa kwakuwa Mungu huona hadi ya moyoni aweza kusamehe.
Walokole bwana alitukanwa Mungu mnaumia nyie kwahiyo nyie ndie wasemaji wake?
😁😁😁😁
 
Ama kweli bora Mungu sio binadamu. Ningekuchapa kofi moja hadi generation yako ya tisa msingekuja kuziona mvi wala sh 50 mkononi.

Tunza akiba ya maneno huwezi kabisa kumtukana Mungu hata uwe unajihisi we ni mjuaji kiasi gani
Mlokole on the move yaani atukanwe Mungu uumie wewe huoni Kama kituko hicho?
Mtukanwa kakaa kimya ila wewe uliyeona katukanwa unaumia saaaana au sio ?

anyway
Mungu sio wewe kilichohitajika ni huyo Mungu kutoa sababu ya kuwapa mateso miaka 40 sio kuja kuniadhibu Kama maoni yako hapo juu
Ewe mlokole usiye na akili ni nani kakupa mamlaka ya kuchukua hasira juu yangu kwa niaba ya Mungu?

Alamsiki!
 
Mtu akienda kumtukana mzazi wako let’s say mama yako matusi ya nguoni utanyamaza?

Mi acha nikuombee rehema kwa Mungu. Yeye ndo atake hangaika na wewe
 
Muandishi hajui biblia hata historia hajui na kaandika Uzi dhaifu unaosapotiwa na uongo halafu makasuku waliokariri nyimbo waliozoea kuimbiwa wanazirudia rudia TU.
Story zisizoongeza akili zaidi ya kudumaza watu walio mapipa matupu.
 
Mtu akienda kumtukana mzazi wako let’s say mama yako matusi ya nguoni utanyamaza?

Mi acha nikuombee rehema kwa Mungu. Yeye ndo atake hangaika na wewe
Acha kuchukua nafasi ya Mungu huyo sio wa kufananishwa na mama yako ewe mlokole usiye na akili halafu kabla hujaniombea hizo rehema za kinafiki yeye alishanifanyia kabla hujaandika hapa,
Narudia Tena usitake kujifanya unataka kuchukua nafasi ya kua msemaji wa Mungu nenda kasome baada ya Mfalme Daudi kupewa ufalme alitaka kujifanya anataka kumjengea Hekalu Mungu kwa style kama yako na hilo lilikua chukizo mbele za Mungu vipi mwenzangu na mimi kujifanya umeumia sana Mimi kufanya hivyo huoni Kama unahukumu?
Jitafakari Mungu anajitetea mwenyewe kwa namna ya ajabu na ishara za Upendo sio Kama ufanyavyo wewe hapa
Jitafakari!
 
I hope the god you believe has sent you to ...., criticize God of Israel ,

Please can you give us , some few details about your god?
 
Yaani natamani nikupe tusi moja takatifuπŸ˜‚

Wewe tusingekua tunaongea mada kuhusu Muumba ningekuogesha matusi ambayo hujawahi kuyaskia. Ila kwakuwa umeniita mlokole acha nitembelee hiyo sakafu.

Ukinitag tena utajijibu mwenyewe naomba usinijaribu nimechoka kutubu.
 
I hope the god you believe has sent you to ...., criticize God of Israel ,

Please can you give us , some few details about your god?
Ifu yu worship Godi fromu Israeli bati yu a afrikani fromu Namtumbo or yu a mmatumbizi yu niidi salivasheni!
 
Wenzako walitaka jaribu tu kunitukana walioga mvua ya kipondo una bahati Sana hujatukana ebooo!
😁😁😁
 
Mtu akienda kumtukana mzazi wako let’s say mama yako matusi ya nguoni utanyamaza?

Mi acha nikuombee rehema kwa Mungu. Yeye ndo atake hangaika na wewe
Umempa jibu zuri. Mwache aongeze kiburi chake, Mungu akiamua kumshushia rungu ndipo atajua hajui, atatamani kufa na kifo kitamkimbia.
 
Umempa jibu zuri. Mwache aongeze kiburi chake, Mungu akiamua kumshushia rungu ndipo atajua hajui, atatamani kufa na kifo kitamkimbia.
Yani anadhani tunavomjibu kistaarabu tunamuogopa. Nnapobishania swala la Muumba wangu natanguliza hekima. Tumwachie aliemuumba apambane nae
 
Uko hai mpaka kwa matusi hayo Mungu sio binamu au shemeji utaona cha moto muda si mrefu tubu
 
dini bn ni kama wehu flani hiv
 
Alivyo juha Huyo Mungu wao badala Ile Miaka 40 awapeleke kusini mwa jangwa la Sahara kama huku East Afrika au Zimbabwe sehemu yenye maeneo makubwa na hakuna watu wanaishi akaanza akawapeleka kuvamia mashamba ya watu Kaanan

Stupid God!
Laana uliyonayo haikuanza kwako tu, itakuwa ilianza kwa babu zako na inaendelea kuwatafunana nyie ktk huo ukoo!
Laana hii ya kuasi kumbuka ni ya milele kwenu!
 
Vile vile usisahau kuna imani inasema taifa la wayahudi ni taifa la laana na ni makafir na nguruwe watu!!!!Sasa hata mimi nashindwa kuelewa kua kwa mujibu wa biblia wamebarikiwa ila kwa mujibu wa hiyo imani nyingine ni makafir na nguruwe watu!!!!!Unaweza kunisaidia elimu kidogo kaka hapa
 
Upo sahii Mungu wa wayahudi YEHOVAH is stupid!!The same to mungu wa waarabu ALLAH he is more stupid to let Jewish create Israel kingdom and state up there
 
Kaka kwa hiyo wayahudi wapo saudia wale akina sharoni ni wagiriki na wapemba kaka?????Tupe elimu kaka
 
Tena ni Wayahudi wachache sana wanaoamini in Jesus! Wakristo wengi Israel ni Waarabu na wengine wageni! Wayahudi kama Wayahudi, ni wachache sana!
Wayahudi sio wakrsto ila huwezi kuutenganisha ukrsto na uyahudi!!!Foundation za ukristo zinatokana na wayahudi waebrania!!!Tupe elimu kaka???
 
Mtume alikua kamanda wa jeshi aliongoza mapigano na aliuwa watu weng sana ila why mnamuamini na kumtukuza wakat alikua muuwaji
Hapana mtume hakuua alikua mtakatifu anakaa ndani na wake zake tu!!!Yesu na makafir ndio walikua wanaua!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…